Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

hi wakali, nina kiassignment changu cha ghafla porini na ninahitaji moja kati ya magari hayo mawili hapo juu... itategemea lenye hali nzuri na bei ya sale..... nissan patrol iwe ya pump ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji Noah ofa yangu 11M mwenye nayo anipigie 0767236210
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Heshima wakuu, ninahitaji kwa mwenye nalo shamba hata kama ni pori lenye ukubwa wa eka tano kama zimepungua pia tuwasiliane tu.. ziwe nje ya dar na pembezoni ama karibu ya ufukwe. natanguliza...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Ukubwa nusu eka( mita 70 kwa mita 35) maji na umeme yapo jirani,kipo umbali wa mita 100 kutoka main road Kanisa la kkkt lipo karibu. Bei ni milioni 30.
0 Reactions
0 Replies
886 Views
Nina rafiki yangu mmoja yupo maeneo ya Arusha anatafuta used laptop aina ya Dell D620 au laptop yoyote used. Bei aliyonayo n sh. 300,000/= kwa yeyote mwenye used laptop ambaye angependa kumuuzia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
12000mAh LAPTOP SOLAR CHARGER 1.Scope for charging: laptop, any mobile phone,digitalcamera,mp3,mp4,PDA,PSP,GPS,DV etc.(USB and 13 mini connected pins) 2.Flashlight:1 high light Ø10mm...
0 Reactions
3 Replies
984 Views
Natafuta frem ya kufungua/kuuziwa stationery
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Type:Dell Colour:Red Model:Inspiron 1011 Bei: 450,000 (tunaweza negotiate) Anayehitaji ani PM tuwasiliane zaidi.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Yeyote mwenye smart nokia original iliyo ktk hali nzuri,afanye hima nahitaji.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nina LG GU285 niliagiza toka nairobi,ni 3g na ina mambo mengi na pia internet yake ipo fasta,ina earphone zake na chaja ni line moja isipokuwa screen yake si kubwa sana kama ninavyopenda...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wapenzi na Wanchama shiriki kuitangaza CHADEMA kila mahali Pata Scarf za CDM kwa 8,000 na 10,000 kwa walio mikoani piga 0714 507507/0786 507507
0 Reactions
28 Replies
3K Views
habari wakubwa, we are developing bussines website for only laki moja tu!!!!!!! if you are you want one email us ashtatu@gmail.com (hosting and publishing cost excluded) thank you,
0 Reactions
1 Replies
906 Views
Nafahamu kwamba aina hii ya vioo sio fashion lakini nyumba ninayoisha inavyo. Nafanya ka-ukarabati wa nyumba, wapi zinapatikana hapa Dar na bei?
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Nauza Toyota IST ipo katika hali nzuri,imetembea km.24,500,metallic silver bei Tsh.14,500,000 kama upo interested plz ni-pm
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Ina vyumba vya kulala vitatu ( kimoja self contained na vingine viwili vya kawaida). In sebure kubwa ambayo inatumika kama dinning pia. Ina jiko na store. Ina uwanja wa kutosha kupaki magari...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndg wana jf,kile kitabu cha tamthilia maarufu Willi Gamba na Tausi kinahitajika haraka,mwenye taarifa ya kusaidia kukipata tafadhari atujuze fasta.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Natafuta nyumba ya kukodisha kwa muda wa miezi miwili ambayo ina kila kitu ndani. Nimesikia hapo Dar naweza kupata naomba msaada kwa wadua wenye infomesheni. Isipungue vumba vitatu, iwe na kila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Askari wa kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) mkoani Ruvuma wakiwa wamewakamata baadhi ya wananchi wakazi wa Lizabon ambao walikuwa wakifanya vurugu kwa kurusha mawe na kuchoma moto matairi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
vvvvgfgggg
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii ni ipad 1 ambayo ina 64gb 3g na wifi na pianina uwezo wa kupiga simu na kupokea na pia kutuma na kupokeansms kwa tumia line yako. Bei ni 750,000/. Iko katika hali nzuri kabis haina mchubuko wa...
0 Reactions
0 Replies
908 Views
Back
Top Bottom