Nauza Bajaj

Nauza Bajaj

RealTz77

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2009
Posts
738
Reaction score
43
Hi mwenye kuhitaji Bajaj, nauza tsh 2.5m, imekaa road 1 year, ina hali safi kabisa, haijafunguliwa engine ( imebadilioshwa caburator tu), derva wake ni mtu mzuri sana na anaitunza kw ahali ya juu. Nauza sababu nahitaji fedha kufanya jambo muhimu sana, ila nitajarudi ktk business ya bajaj soon nkimaliza matatizo yangu. mwenye kuhiaji ani pm taf.
[Reg number ni BQC, 4stroke , lita moja inatembea 32km, ] hope kwa bajaj zinafahamika haihitaji picha hapa!
 
Hata kama bajaj zinaeleweka, picha muhimu
 
Back
Top Bottom