Habari magreat thinkers! Jamani wakuu ninatafuta laptop used kwa ajili ya matumiz madogo madogo 2, nina Tsh 300,000/= cash, so kwa anayeuza naomba anijuze, but isiwe mbovu mbovu...
ps2 inauzwa iko full kabisa memory card,pad 2 ,ni ile kubwa sio slim na ni ntsc unapata na cd 1 bei 160 maelewano yapo condition nzuri na haijatumika sana na anaeuza ps3 from laki6 hadi 8 ni pm...
Habari magreat thinkers! Jamai wakuu ninatafuta laptop used kwa ajili ya matumizi madogo madogo 2, nina Tsh 300,000/= cash, so kama yupo anayeuza naomba anijuze but isiwe mbovu...
Ipo mita 200 kutoka stendi ya mabasi,ina fence ya ukuta, garage ya kupaki gari,maji, umeme full.tiles nyumba nzima.Master bedroom mbili,na vyumba viwili vya kulala vya kawaida, makabati ya nguo ya...
Habari zenu wakuu,kama kichwa hapo juu kinavyosema,nahitaji kununua gari hivi karibuni na nimevutiwa sana na OPA.Ningependa kujua bei yake na uimara wake kwa sasa hapa mjini Dar ili nisije ingia...
Habari wadau, shamba la eka 3 lipo Miyuji katika manispaa ya Dodoma linauzwa kwa sh mil 9, lina hati miliki, kama unalihitaji wasiliana nami kwa namba 0769671540.
​MITSUBISHI CANTER : 3.5 TONS ; YEAR 1998 ; 4200 CC : TOURER ; BLUE : REGISTERED T 616 BTD : EXCELLENT CONDITION ; ON SALE BY OWNER AT KIGAMBONI DAR ; serious buyers contact +255...
Nauza vifaa vya saloon vya kike,vimetumika kwa muda wa miezi 5,vipo katika hali nzuri,vyakuchukua nakuanza biashara,drayer 2 moja stimmer,rolaz,vitana,viti vitatu vyakisasa,tray kubwa la...
Kiwanja kinauzwa Kibamba CCM,upande wa kushoto kutokea mjini 25x20 kimeshajengwa msingi,umbali ni km3 tokea barabara ya Morogoro,bei Mil.6,Maelewano yapo,Mimi ndio mwenye mali hakuna dalali...
Ni Analog used, jina lake ni canon, ina external flash inayotumia betri ndogo nne, iko ktk hali nzuri sana, begi pia lipo. bei ya kutupa wandugu, nauza shs 80,000/=. nicheck hapa 0714-408238.
Habari magreat thinkers! Jamani wakuu ninatafuta laptop used kwa ajili ya matumizi madogo madogo 2, nina tsh 300,000/= cash, kwa anayeuza anijuze but isiwe mbovu mbovu. Nipo...
Iko mwanza maeneo ya Kilimahewa
Ni maeneo ya 'Big bite' yanapogeuzia mabasi mbele kidogo.
Nyumba haijaisha kama inayvoonekana kwenye picha
Ina sebule,dinning room,jiko,stoo,na 4 bedrooms kimoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.