Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari magreat thinkers! Jamani wakuu ninatafuta laptop used kwa ajili ya matumiz madogo madogo 2, nina Tsh 300,000/= cash, so kwa anayeuza naomba anijuze, but isiwe mbovu mbovu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
ps2 inauzwa iko full kabisa memory card,pad 2 ,ni ile kubwa sio slim na ni ntsc unapata na cd 1 bei 160 maelewano yapo condition nzuri na haijatumika sana na anaeuza ps3 from laki6 hadi 8 ni pm...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari magreat thinkers! Jamai wakuu ninatafuta laptop used kwa ajili ya matumizi madogo madogo 2, nina Tsh 300,000/= cash, so kama yupo anayeuza naomba anijuze but isiwe mbovu...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
kama kuna mtu mwenye chumba maeneo ya survey au mliman city naomba anicheck
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ipo mita 200 kutoka stendi ya mabasi,ina fence ya ukuta, garage ya kupaki gari,maji, umeme full.tiles nyumba nzima.Master bedroom mbili,na vyumba viwili vya kulala vya kawaida, makabati ya nguo ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu,kama kichwa hapo juu kinavyosema,nahitaji kununua gari hivi karibuni na nimevutiwa sana na OPA.Ningependa kujua bei yake na uimara wake kwa sasa hapa mjini Dar ili nisije ingia...
0 Reactions
15 Replies
9K Views
simply simu AINA YA NOKIA E63 INAUZWA KWA bei nafuu sana! Wasiliana nami!
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ni mpya haikuwahi tumika,unaweza kuitumia kama external kwani ni zile ndogo,pia kwenye laptop ina fit.
0 Reactions
0 Replies
884 Views
Zinahitajika HP/DELL computers zenye flat screen, mpya itakuwa safi zaidi.
0 Reactions
0 Replies
811 Views
kwa waishio Moshi...call me at 0717-754355
0 Reactions
1 Replies
2K Views
[DONE]
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wadau, shamba la eka 3 lipo Miyuji katika manispaa ya Dodoma linauzwa kwa sh mil 9, lina hati miliki, kama unalihitaji wasiliana nami kwa namba 0769671540.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
​MITSUBISHI CANTER : 3.5 TONS ; YEAR 1998 ; 4200 CC : TOURER ; BLUE : REGISTERED T 616 BTD : EXCELLENT CONDITION ; ON SALE BY OWNER AT KIGAMBONI DAR ; serious buyers contact +255...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Nauza vifaa vya saloon vya kike,vimetumika kwa muda wa miezi 5,vipo katika hali nzuri,vyakuchukua nakuanza biashara,drayer 2 moja stimmer,rolaz,vitana,viti vitatu vyakisasa,tray kubwa la...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
Kiwanja kinauzwa Kibamba CCM,upande wa kushoto kutokea mjini 25x20 kimeshajengwa msingi,umbali ni km3 tokea barabara ya Morogoro,bei Mil.6,Maelewano yapo,Mimi ndio mwenye mali hakuna dalali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni Analog used, jina lake ni canon, ina external flash inayotumia betri ndogo nne, iko ktk hali nzuri sana, begi pia lipo. bei ya kutupa wandugu, nauza shs 80,000/=. nicheck hapa 0714-408238.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
iPHONE 3GS, black, 16GB, 350000/= call 0713619476 negotiations open.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Good/Mint Condition iPhone 4 white/black color, Factory unlocked inahitajika immediately, cheap price contact: 0718323716,,
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari magreat thinkers! Jamani wakuu ninatafuta laptop used kwa ajili ya matumizi madogo madogo 2, nina tsh 300,000/= cash, kwa anayeuza anijuze but isiwe mbovu mbovu. Nipo...
0 Reactions
0 Replies
910 Views
Iko mwanza maeneo ya Kilimahewa Ni maeneo ya 'Big bite' yanapogeuzia mabasi mbele kidogo. Nyumba haijaisha kama inayvoonekana kwenye picha Ina sebule,dinning room,jiko,stoo,na 4 bedrooms kimoja...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom