Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jaman wana Jamii mi ni kijana mmoja wa vijana waliomaliza kidato cha sita mwaka huu na nipo ARUSHA,nina tafuta tempo kwa kipindi hichi ninachosubiria matokeo ili mradi tu iwe ni kazi halali na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyumba ya kupanga ipo mbezi juu kupitia massana hospital (mbezi beach).Ipo kuanzia tarehe 1/3/2012. Inamaster bedroom, vyumba vingine viwili, toilet na small sitting rm. Gharama yake ni Tsh...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu naomba mnishauri kwa shilingi Milioni 3 naweza pata kiwanja kizuri maeneo gani? Angalau kisiwe pembeni sana ya DSM ukubwa usiwe chini ya 20x20. Je inawezekana kumpata mtu anayeuza kiwanja...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
12000mAh LAPTOP SOLAR CHARGER 1.Scope for charging: laptop, any mobile phone,digitalcamera,mp3,mp4,PDA,PSP,GPS,DV etc.(USB and 13 mini connected pins) 2.Flashlight:1 high light Ø10mm white LED...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza simu 3Gs iphone mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa simu hizi 0777410364-0715410364-0789008877 bei maelewano.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wandugu kuna toshiba mpyaaa kabisa yauzwa specs hizi hapa..... BRAND NAME: TOSHIBA,PENTIUM P6100 RAM: 2.48 GB PROCESSOR: 1.6GHZ HARD DISC: 500GB DISPLAY: 15.6' DVD: SUPER MULTI DRIVE COLOUR:BLACK...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nauza simu aina ya hp iPAQ data messenger.ni nzuri kwa wafanya biashara sababu ni pocket pc.bei yake ni laki mbili na nusu(250,000) lakini kuna maelewano.kwa mawasiliano piga 0773664660
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza nyumba Mbz Msakuzi haijapailiwa ina vyumba 3,kimoja master,jiko, choo,sitting na uwanja wake ni 20x34 bei inaanzia 20Mil. seriuos buyer can contact fmx6@yahoo.com
0 Reactions
8 Replies
2K Views
wadau na n9 kwenye boksi kabsa milioni tu hii simu dukani ni milion laki 4 ndo latest version ya NOKIA
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni Power Tiller aina ya VST SHAKTI MITSUBISHI POWER TILLER 130 di from India wiith full impliments 1.5Ton Trailor, Rotovator, Mould Board Plough,Harrow, Cage Wheels and a set tools (Tool box)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
GENERAL 2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 3G Network HSDPA 900 / 2100 HSDPA 850 / 900 / 2100 Announced 2010, February Status Available. Released 2010, July BODY Dimensions 117 x 60 x 12.5...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mhitaji ani PM tafadhali. Ni Dell.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
  • Closed
iphone 4 for sale in good condition bei 550000 iko safii 0714519880
0 Reactions
2 Replies
984 Views
Karibu ujipatie webtempelates za ukweli kama za facebook na tweeter for free on mychat.mobsite.co
0 Reactions
0 Replies
809 Views
Mambo vipi wadau? Mbwa wanauzwa pure Germany Shepherd tarehe 18, feb,2012 wanatimiza miezi miwili. Wamebaki watatu. Bei ni Tshs 300,000/= kwa mmoja. Kwa mawasiliano: 0717 123 464 0762 101 178
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna kiwanja kizuri Bunju B nipm.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MSAADA....... MSAADA....... MSAADA....Natafuta nyumba ya kukodisha kwa muda wa miezi miwili ambayo ina kila kitu ndani. Nimesikia hapo Dar naweza kupata naomba msaada kwa wadua wenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ni mpya ina wiki tatu tu mkononi laki nne na nusu, nPM
0 Reactions
0 Replies
980 Views
Nimetokea kuvutiwa na toyota ist kwa yeyote mwenye uzoefu nayo naomba anihabarishe uimara wake kabla sijaingia mkenge wapendwa.
0 Reactions
14 Replies
7K Views
lipo katika kijiji cha lugwadu wilaya ya mkuranga. Ni km 6 kutoka barabara kuu ya kongowe kigamboni na km 24 kutoka ferry na km 8 kutoka kongowe. Shamba lina ninazi mikinda na mikorosho...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom