Kama title inavyojieleza, ninauza gari tajwa ikawa haina shida yoyote na sifa zifuatazo
manual gear
H1z engine
model ya 1992
4wd
Gari iko dar kigamboni. Check picha na Kama utapenda kuona gari...
Selfie sticks za kijanja kabisa zisizo tumia betri wala chaji. Hizi unaplug na kupiga picha. Hata siku nzima ukitaka utapiga tuu. Kwa bei nafuu kabisa Call now.
0786371108
Shilling 10000 tuu
Habari zenu wakuu, natafuta laptop brand yoyote yenye sifa zinazoendana na soko la biashara. Walau iwe na sifa hizi screen ya 14 mpaka 17inch, ram 2 au 4gb, HDD 500gb, DVD ROM, internal speaker...
Hii ni mahaalum kwa kwa wapenzi na wanandoa, ni time yako tena ya kuenjoy katika msimu huu wa wapendanao.huu ni mzigo wa valentine day 2016 tunaingia hotelin jumamosi mapena sana, breakfast, baada...
Habari zenu wakuu,
Ninahitaji shamba la eka tatu kwaajili ya kufugia.
SIFA ZA SHAMBA
1. Shamba hilo liwe linapatikana Mkuranga
2. Eneo lilopo shamba liwe na maji ya kutosha nikichimba kisima...
Wadau nahitaji laki nne na nusu 450,000/=kwa simu tajwa hapo juu.inapatikana hapa hapa dar es salaam.
Atakayehitaji anicheki whatssapp kwa no 0758907024.imetumika mwezi mmoja haina tatizo lolote...
Nauza samsung galaxy s3 mpya
16GB internal
Colour white
8 megapixel
Bei 320,000 nitafute kupitia 0758728258,0688080008
Unaweza kujiridhisha kwa kuhakikisha kua ni original kwa kuangalia kwenye...
Bajaji ni mpyaa ina mwezi mmoja (1) barabarani.
Haina hata tone la mchubuko
Vibali vyote vimo kutoa Sumatra.
Bajaji ipo Dar es salaam...
bei 5.9M
Maelewano yapo
Kwa mawasiliano zaidi ni PM
Toyota rav4
Mwaka- 1998
Km - 110000
Haidaiwi kitu
Bei 12.5m
Maongezi yako
Gari iko dsm
Karibun
Piga smu 0656436662
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.