Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kuna mtu humu ana deal na hiyi biashara ya kujaza upepo na kuziba pancha?Shida yangu ni kujua bei ya ile mashine ya ku press tairi na compressa kubwa na mchanganuo kidogo wa biashara...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Wakuu kuna dada anauza simu yake sony experia laki 3 haina tatizo lolote ana shida ya pesa tu
1 Reactions
2 Replies
879 Views
Tunauza cement jumla ,tutakulipa riba nzuri hata kila mwezi kwa mkataba wa mwaka,0762576878
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naiuza ipo moja na inafanya kazi ipo barabarani ipo vizuri sana engine yake isipokuwa body lakufanyia marekebisho kidogo kama vile turubai kununua lakini ni nzima sana. Sababu yakuuza...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
kwa wale wote wanaoojenga na wapo kwenye hatua za kuweka fremu za milango wanione. Fremu zinapatikana kwa gharama ya sh. 110,000 tu. Mbao inayotumika ni mninga pure . Unatoa order yako pamoja na...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kioo cha computer yangu kimepata ufa, Nahitaji mwenye uwezo wa kunitaftia kioo pekee (Display) LCD-Flat Screen 19 Inches, ANIPIGIE SIMU TUONGEE BIASHARA: 0652416300 KAZI ZIMESIMAMA: Natumia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunakata viwanja maeneo haya:- Bunju km 1 kutoka bagamoyo road 30 kwa 40 bei 16.5ml Mwanzoni mwa mapinga mbele kidogo ya bunju B km 2 kutoka bagamoyo road 20 kwa 25 bei 7ml Goba karibu na stand...
1 Reactions
3 Replies
902 Views
Salam wadau...nimeuza gari langu na nimeagiza lingine nahitaji gari ya kukodi kwa bei nzuri (fair) kwa wiki 3...kuanzia carina...premio..vits...gx100..ilimradi iwe nzima tu.Naomba mwenye nalo au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamvi offer yangu ndiyo hiyo, nahitaji TV flat screen LED brands kama Sumsung, LG au Sony na si vinginevyo. Vizuri muuzaji ukiwa Dar.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau salaam ziwafikie huko mliko jaman nahitaj fund mzur wa wa ujenz ambaye anaefanya deco wall.. hasa nahitaj concrete wall stamping na floor stamping.. anaeweza ani PM ama kama kuna mtu...
0 Reactions
1 Replies
976 Views
iwe inakaa na chaji at least 3hrs
0 Reactions
5 Replies
831 Views
Mashine ya kupigia tofali na vibao vyake viko 500 inauzwa, inatoa tofali moja la 5.5", iko Dar, ilitengenezwa December, 2015 na TDTC pale UDSM, iko imara sana. Kwa bei ni 900,000 (Maelewano...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana JF kama kakichwa kalivyojieleza natengeneza application za simu android kwa Tsh 50000 Tu app ninazotengeneza ni za blog/web za habari na makala n.k ni cheki whatsapp/call 759202132...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wasalaam waleikhu na bwana asifie kwenu, natumaini nyote mnaendelea vizuri na shughuli za ujenzi wa Taifa letu hili. Dhumuni la kuandika thread hii ni kupenda kuwatangazia umma kuwa nauza maeneo...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Husikeni wadau bajeti yangu ni milioni 12 natafuta gari Niko Moro 0752048709
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi natafuta Jiko lenye oven kwa matumizi ya nyumbani linalotumia Gasi na umeme liwe na plate 4 na mashine ya kufuria tafadhari msaada
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Aina : Isuzu siti 30 ilkua school bus.. inauzwa baada ya shule kufilisika ipo vizuri bei milioni 13.. kwa mawasiliano 0654314066 0768240404 0688314066 Npo ubungo riverside.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Sema uitakayo halafu nikupe bei
0 Reactions
16 Replies
2K Views
nashida na mashine ya kukamulia juice ya miwa inapatikana wapi wadau na wanauzaje
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nahitaji Rav 4 J au L old model. Iwe katika hali nzuri. Ya Milango 5. Kama mtu anayo aniambie.
0 Reactions
5 Replies
688 Views
Back
Top Bottom