Wapendwa wana Jf ninafuga samaki aina ya kambale ninao kama bwawa Moja nilitaka kuuza wote kwa pamoja mabwawa yangu yapo nje kidogo ya jiji la DSM I mean bagamoyo waweza kuja site yangu ukacheki...
Tunatoa huduma za ushauri juu ya uandishi wa maswala ya research pamoja na data analysis..pia tunatoa elimu juu ya utunzaji wa mazingira.. kwa mawasiliano zaidi tupigie 0653218299
JE UNASUMBULIWA NA MAGONJWA YOYOTE KATI YA HAYA;
1. Uvimbe(asthma),
2. Kisukari aina ya pili(diabetes type 2),
3. Matatizo ya moyo(cardiovascular disease), mf presha, moyo mkubwa
4. Uvimbe...
Guys unajua nguvu za kiume tunaweza sema ni utendaji wa misuli kwenye uume ambapo utendaji huo unafanya kazi kwa ufanisi zaidi pindi tuu mirija ya damu inayozunguka misuli hiyo ikiwa katika hali...
A newly lovely built three bed roomed house on 900 square meters plot in a residential area of Goba at Madale crossroads, one bedroom is en-suite, living area is spacious, paved parking, garden...
Habari,
Watu wengi wamekuwa wakihangaika na fungus, akitumia dawa zina isha na kujirudia tena.
Ningependa kuwashirikisha dawa toka kampun ya BF_Suma ambayo itakufanya usahau kabisa ilo tatizo...
Habari wadau,
Natafuta mtu mwenye trailer la kuvuta na gari ndogo kama nilivyoambatanisha kwa picha hapo.
Na vile vile kama unaweza kutengeneza tafadhali naomba uni-inbox number yako nitakucheki...
Nyumba inauzwa eneo la itezi mbeya tshs 50m mazungumzo yapo. Ina vyumba vinne vya kulala, sebule, chumba cha chakula na jiko, mabanda ya uani kwa ajili ya mifugo, bustan ipo kwenye uwanja wa eka...
Pata viwanja vilivyopimwa
Mailimoja Kibaha
3 Kilometa kutoka barabara kuu ya morogoro.
Vipo eneo la kilimahewa njia ya pangani.
Vimezungukwa na umeme, maji, barabara.
1square meter = 9500...
Natafuta nyumba ya kupanga kwa ajili ya familia, mpango wangu ni kuhamia tarehe 1 februari mara baada ya kuileta familia huku.
Nahitaji nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, na sebule,dining na...
NINAUZA FRIJI MPYA GAURANTEE 2 YEARS MWENYE KUITAJI ANIPIGIE SIMU +255719909267 OR +255766772967 INAPATIKANA KIGAMBONI IMETUMIKA WIKI MOJA INAUZWA SHILING 550,000/=
Juzi nilikuwa naangali tv moja ya China ambapo nilikuwa interested nilpoona wanatangaza aina fulani ya incubator ambayo yai moja yenyewe inatoa vifaranga wawili,kama ukiweka trei moja ya mayai 30...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.