Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wazee habari. Nataka kununua Brevis yenye namba D, isiwe nyeupe na haijawahi pata ajali yoyote. Kama kuna mwenye nayo anifahamishe. Bei isizidi 8,000,000/=
0 Reactions
30 Replies
7K Views
ram 2gb hdd 320 dual core 3g camera size 14.1 wifi bluetooth window 8 betre 3hrs 380000 0712191251
0 Reactions
0 Replies
517 Views
Fahamu jinsi ya kurecord screen yako ya android kwa kutumia app ya bure. hii itakusaidia akurecord gem ama kutengeza tutorial
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mahali-Kitonga(karibu na Msongola) Dar es salaam Umbali-1.3km kutoka barabara ya chanika....gari inafika Ukubwa-16mx14m Vina mikataba safi ya mauziano kutoka serikali ya mtaa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu mabibi na mabwana,mie ni kijana mwenye taaluma ya Ufundi wa umeme wa majumbani,nafanya kazi zifuatazo -kufanya wiring katika nyumba ndogo mpaka ghorofa. -Kulekebisha hitilafu au shoti...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Imeshapangishwa. Asanteni wadau
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Iwe Portable Niende Nayo Kwenye mishe zangu bila Shida Yoyote! Niko Dar Es Salaam kama Unayo Piga Namba 07182 95 182 Jigo
0 Reactions
0 Replies
641 Views
Nauza lain ya mpesa.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Natafuta kuingia katika biashara na Kampuni iliyo safi ya Kukodisha Magari, nataka tufanye wote hii biashara pamoja. Tuwasiliane Tafadhali +255769711544
0 Reactions
3 Replies
1K Views
G
0 Reactions
4 Replies
828 Views
Nauza Asali mbichi ya nyuki wadogo, haijachakachuliwa ipo kwny dumu la lita moja sealed... Bei ni tsh. 15000/= per litre! Unaweza kupata lita nyingi kadri utakavyo, nipo magomeni dar es salaam!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ubuyu wa Zanzibar unapatikana Tsh 1000 kwa packet. Delivery fee 3000 kwa dar. Karibuni
0 Reactions
2 Replies
5K Views
  • Closed
Ipo vizuri haina tatizo. Nimeshindwa kuifanyia kazi, hivyo ni vema niiuze. Kama utaihitaji ni-pm
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Nyumba imeshapata mpangaji. Asanteni wadau Attached Files:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
A.alleikhum wadau,kiwanja kinauzwa kwa bei poa Mahala:Sinza Madukani/K'ndoni (Dsm) Ukubwa:40×40 (vyumba viwili vpo ndani ya eneo hlo) Bei: 180M (Maelewano yapo) Mengineyo:Hati na Nyaraka muhimu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ofa ya kiwanja Nyerere road mkabala na airport. Ukubwa karibu 2255 square metres ina fence na gate. Hati ya makazi ipo. Ina nyumba ya kawaida ya vyumba vinne. Ideal kwa stoo, parking, kujenga go...
0 Reactions
0 Replies
708 Views
IPhone 5S 32 GB(Memory kubwa) Gold Colour For Only $300 Contact 0689 222222
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari yenu JF members, nina shida ya laki 5 mwenye nayo naomba anikopeshe hata kwa riba nitashukuru sana. Nitairudisha baada ya 2wks.
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Kwenu wadau, Kwa mtu yoyote or small firm/ entity kama unahitaji Pos(point of sale) system ambayo waweza integrate na Efd au ukatumia just normal slip printer basi wasiliana na mim ili nkupe...
0 Reactions
0 Replies
541 Views
Kama unahitaji nicheki 0652740927
0 Reactions
0 Replies
934 Views
Back
Top Bottom