Wazee habari. Nataka kununua Brevis yenye namba D, isiwe nyeupe na haijawahi pata ajali yoyote. Kama kuna mwenye nayo anifahamishe. Bei isizidi 8,000,000/=
Mahali-Kitonga(karibu na Msongola)
Dar es salaam
Umbali-1.3km kutoka barabara ya chanika....gari inafika
Ukubwa-16mx14m
Vina mikataba safi ya mauziano kutoka serikali ya mtaa...
Habari zenu mabibi na mabwana,mie ni kijana mwenye taaluma ya Ufundi wa umeme wa majumbani,nafanya kazi zifuatazo
-kufanya wiring katika nyumba ndogo mpaka ghorofa.
-Kulekebisha hitilafu au shoti...
Natafuta kuingia katika biashara na Kampuni iliyo safi ya Kukodisha Magari, nataka tufanye wote hii biashara pamoja. Tuwasiliane Tafadhali
+255769711544
Nauza Asali mbichi ya nyuki wadogo, haijachakachuliwa ipo kwny dumu la lita moja sealed... Bei ni tsh. 15000/= per litre! Unaweza kupata lita nyingi kadri utakavyo, nipo magomeni dar es salaam!
A.alleikhum wadau,kiwanja kinauzwa kwa bei poa
Mahala:Sinza Madukani/K'ndoni (Dsm)
Ukubwa:40×40 (vyumba viwili vpo ndani ya eneo hlo)
Bei: 180M (Maelewano yapo)
Mengineyo:Hati na Nyaraka muhimu...
Ofa ya kiwanja Nyerere road mkabala na airport. Ukubwa karibu 2255 square metres ina fence na gate. Hati ya makazi ipo. Ina nyumba ya kawaida ya vyumba vinne. Ideal kwa stoo, parking, kujenga go...
Kwenu wadau,
Kwa mtu yoyote or small firm/ entity kama unahitaji Pos(point of sale) system ambayo waweza integrate na Efd au ukatumia just normal slip printer basi wasiliana na mim ili nkupe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.