I provide effective and efficient pest and rodents control services that are pocket friendly.I have experience to guarantee you rapid response to your queries and quality service delivery.You can...
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Kuna viwanja vitatu vipo maeneo mawili tofauti lakini Kigamboni.
1. Kiwanja cha kwanza kipo mtaa wa Mji mpya, kilometa 1 kutoka ferry na ni mtaa wa pili...
inapangishwa Nyumba yote ikiwa na
Masterbedroom 2 zilizojitosheleza
ina vyumba viwili humomumo ndani vinavvojitegemea choo cha ndani , pia bafu la ndani.
kuna Dinning, kuna Sebule kubwa, Stoo...
VIWANJA/PLOTS KWA MAKAZI YANAUZWA CHAMAZI DAR ES SALAAM YAPO ENEO TAMBARARE NA PANAPOFAA KWA MAKAZI.VIWANJA VINA UKUBWA TOFAUTI TOFAUTI KULINGANA NA UWEZO NA MAHITAJI YA MTEJA.
ENEO LIMEPIMWA...
Nauza viwanja vipo vikindu 2km kutoka main road unachepuka pale getini kwa pkpk dk2 ukubwa 60*60 bei kuanzia 4.5ml meter 100 kutoka main road pia kuna eneo la hekta 5 linauzwa bei 250ml eneo ni...
Habari zenu wanajamvi, Nahitaji designer wa vitambulisho(ID) vya wafanyakazi wa kampuni. Anayeweza au kujua tafadhali tuwasiliane kwa 0655001170/0754844098.
Nipo tegeta Dar es salaam.
Ahsanteni.
Habari, nauza simu tajwa, imetumika miezi 6. Ni original, haina mikwaruzo, haina tatizo la aina yoyote. Nina vifaa vyake vyote, pamoja na box. Ninataka kubadilisha simu. Bei ya kuuzia isiyopungua...
Wana jamii wenzangu, kuna Nyumba napangisha, vyumba 2, sebule,dinning, choo na bafu, jiko na stoo, nafasi ya kutosha nje na uzio. Iko Mto kijichi kabla ya Neruka Sec ukitokea Bwawani, baada tu ya...
I provide effective and efficient pest and rodents control services that are pocket friendly.I have experience to guarantee you rapid response to your queries and quality service delivery.You can...
Habari zenu wakuu?? Nauza laptop:-
SONY VAIO
VGN-CS325J
4GB OF RAM
250GB - HARD DISK DRIVE
CORE 2 DUAL -------- 2.1GHz 2.1GHz
64-Bit
GRAPHICS BY nVDIA
na vikorombwezo kama BLUETOOTH, WEBCAM...
Natafuta kazi ya kuuza maduka ya computer au simu
Niko dsm
Umri 22
Uzoefu wa kutumia computer miaka 2 pamoja na utaalamu wa mambo ya simu
Mawasiliano 0654937160
1.plot iko bahari beach karibu na barabarani ukubwa 3468sqm.bei 950m
2.plot iko mwenge karibu na mlimani city karibu na samnujoma road 445 sqm bei sh.350m
3.plot iko mbezi mwisho 700 sqm ina fance...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.