Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Computer hp core i5 processor speed 3.3ghz(4cpu),6gb ram,dvd writer,video card,hdd 250....mashine imesimama no scratches....bei 400k maongezi yapo nicheck hapa 0655090000
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Bei: 5,500,000 Ipo vizuri (kazini), simu : 0715859923, Vibali vyote vimelipiwa, Mileage : 146,616 km Engine capacity : 657 Number : T487 CTX Njoo na fundi wako.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi, Natafuta flatbed trailer used au mpya ambayo ipo Dar es salaam. Maelezo ya ziada; Flatbed trailer used au mpya Air suspension BPW axles 40 ft Super single tyre Iwe ya OZGUL au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jipatie Viwanja Sasa kwa bei nafuu kabisa Ambavyo Vipo kwenye maeneo mazuri ya ujenzi Pia viwanja vinakopeshwa utaweza kulipa kidogo kidogo ndani ya miez 6 Ukubwa wa viwanja ni 20*20...
0 Reactions
93 Replies
13K Views
Habari wakuu, ninauza huawei tajwa hapo juu. -Imetumika kwa miezi 10 -Ipo ktk hali nzuri kabisa -Ni simu Original -Nakupa na Chaji yake niliyonunulia -Ni simu yangu Binafsi wala si ya mtu wala...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nautafuta vifaa kwa ajili ya salon ya kiume, vifaa hivyo ni kama vile viti, sterilizer machine, kiti cha kuoshea n.k. mimi niko Morogoro, karibu tufanye biashara
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wadau; Kiwanja chenye ukubwa wa eneo tajwa hapo juu kinachopatika Mbezi mwisho kinauzwa. Bei ya mauzo ni Sh 4,500,000 (Negotiable) mazungumzo yanaruhusiwa. Kwa yeyote mwenye uhitaji ani...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta incubator kwa ajili ya mayai 200, automatic, electric. Niko Dar Kisukuru Ahsanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Niko Dar , piga Sim namba 0718295182 au weka bei hapa niinunue fasta!! Jigo
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Nauza Crv ya mwaka 1999, inainsuarence na road licence mpaka july ipo katika hali nzuri bei ni 5 m tu.
0 Reactions
3 Replies
987 Views
Wanajf!! Ninatafuta nyumba ya kupanga kwa ajili ya makazi, kwani nimehamishiwa hapa Arumeru, Arusha. Nyumba iwe ya vyumba vitatu (kimoja kiwe master bedroom) vya kulala, sitting, dining etc...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu zangu wa www.jamiiforums.com Nimepata uhamisho, kuelekea Arumeru. Ofisi yangu ipo mitaa ya Leganga Natafuta nyumba, mwenye access na nyumba ya kupangisha ktk mitaa ya Leganga, mjimwema...
0 Reactions
1 Replies
992 Views
Wadau amani iwe kwenu Nahitaji kumnunulia shemeji yenu gari hata kama ni ya kumvua mtu, budget yangu ni ndogo ndio maana nahitaji ya mkononi Nahitaji passo au vits au swift au toyota ist, hivyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
- Napenda kuwafahamisha my people here kwamba as a part of Celebrations ya my Social Media Company kutimiza miaka 3, tutakuwa na Semina maalum ya "KUZALIWA MASIKINI SIO ADHABU YA KIFO" ambayo...
2 Reactions
40 Replies
3K Views
wakuuu rejeen kwenye kichwa cha habari. nyumba ya vyumba viwili,jiko na sebule. iwe na fence na maji yawepo.itapendeza ikiwa na tiles na sliding windows. budget yangu ni 200000 mpaka 250000...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Bandugu gear box yangu inapoingia namba mbili gari inastuka kwa nguvu hivi then gear zingine zipo ok, tatizo hili linaweza shughulikiwa au nitafute nyingine tu ,whatapp 0743480892
0 Reactions
0 Replies
843 Views
Gari iko mpya kabisa shida za hapa na pale ndio zmesumbua...bei milion 8.5, napatikana dsm kwa namba 0713806766.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nahitaji muuzaji wa uhakika wa gari ya aina hiyo, namba kuanzia C, D. Iwe haijagongwa wala kupigwa rangi, Injini iwe ktk hali nzuri, Milleage haizingatiwi sana.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wadau nahitaji HP Pavilion original ya US. Napenda iwe na sifa zifuatazo Memory angalau GB 4 na kuendelea HD angalau 500 GB Processor iwe COREi 3 ama latest zaidi Iwe rangi yoyote ila kama...
0 Reactions
0 Replies
617 Views
Anti-theft Padlock Sound Alarm Lock Security With Key This alarm lock combines locking with alarming function. It is a good tool for you to protect your properties. It has low false alarm...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom