Kwa wanaotaka Fremu za milango ya nyumba

Kwa wanaotaka Fremu za milango ya nyumba

KIDUNDULIMA

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2010
Posts
966
Reaction score
541
kwa wale wote wanaoojenga na wapo kwenye hatua za kuweka fremu za milango wanione. Fremu zinapatikana kwa gharama ya sh. 110,000 tu. Mbao inayotumika ni mninga pure .

Unatoa order yako pamoja na vipimo unakamilishiwa ndani ya muda mfupi.

Wahi offer hii ya mwisho wa Mwaka.

Napatikana Ubungo, no yangu ya simu ni 0754293720/0652827110
 
kwa wale wote wanaoojenga na wapo kwenye hatua za kuweka fremu za milango wanione. Fremu zinapatikana kwa gharama ya sh. 110,000 tu. Mbao inayotumika ni mninga pure .

Unatoa order yako pamoja na vipimo unakamilishiwa ndani ya muda mfupi.

Wahi offer hii ya mwisho wa Mwaka.

Wekamo picha
 
umeshindwa kuijitangaza mahali ulipo mmkuu wala hujaweka contact zako sasa tukitaka kukufuata tutakupate
biashara matangazo mazuri tuwekee PICHA tuone ili uvutiwe mkuu tangazo boresha halijakaa sawa ni kama ulikuwa unashairi
 
Back
Top Bottom