Ndebile JF-Expert Member Joined Sep 14, 2011 Posts 8,246 Reaction score 12,789 Feb 16, 2016 #1 Wanajamvi offer yangu ndiyo hiyo, nahitaji TV flat screen LED brands kama Sumsung, LG au Sony na si vinginevyo. Vizuri muuzaji ukiwa Dar.
Wanajamvi offer yangu ndiyo hiyo, nahitaji TV flat screen LED brands kama Sumsung, LG au Sony na si vinginevyo. Vizuri muuzaji ukiwa Dar.
K KIJONGA JF-Expert Member Joined Apr 4, 2014 Posts 456 Reaction score 374 Feb 16, 2016 #2 800000 nakupa samsung 40,series 5,model 5003 inawiki 3 nasafr kwnd nje ndo reason ya kuuza,pungufu ya io usinipm
800000 nakupa samsung 40,series 5,model 5003 inawiki 3 nasafr kwnd nje ndo reason ya kuuza,pungufu ya io usinipm
Ndebile JF-Expert Member Joined Sep 14, 2011 Posts 8,246 Reaction score 12,789 Feb 16, 2016 Thread starter #3 KIJONGA kamata 735,000, usicheke 35,000 hiyo nimekopa kutoka kwenye bajet ya bia
Nokla JF-Expert Member Joined Aug 12, 2012 Posts 3,190 Reaction score 1,780 Feb 16, 2016 #4 Ndebile said: KIJONGA kamata 735,000, usicheke 35,000 hiyo nimekopa kutoka kwenye bajet ya bia Click to expand... Nakushauri chukua hiyo tv
Ndebile said: KIJONGA kamata 735,000, usicheke 35,000 hiyo nimekopa kutoka kwenye bajet ya bia Click to expand... Nakushauri chukua hiyo tv