Nina plots 3 ziko Singida
Cha kwanza ni heka 9
Cha pili ni heka 8
Cha tatu ni hela 8.5
Kila plot kina mining Licence
Anyone that will be interested plz contact me 0676 983196
Naitaji aridhi heka 5
Iwe dar,au mkoa wa jirani na dar
Iwe imepimwa
Budget yangu ni 10m.
Kwa mawasiliano zaidi nicheki inbox
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Kipo Goba mjini, mita 300 kutoka stand.ukubwa 40 kwa 50 pako vizr na njia nzr inafikika,bei yake 35ml.bei ina maongezi
Kwa maongezi na kupata tarifa zaidi wasiliana nami kwa simu no: -
0756060183
Kiwanja chenye nyumba iliyoendelezwa na kufikia kwenye rental(vyumba 3, kimoja ni self container, choo cha ndani ya nyumba ). Bei ni 14m kwa serious buyer maongezi yapo, eneo lipo Morogoro...
Ndugu waheshimiwa walimu,
Mwalimu wa bookkeeping anatafutwa kwa ajili ya kufundisha kidato cha I hadi IV
Kama ni wewe au jirani yako au rafiki wasiliana nasi.
0753903809
Plots mbili ziko moriet ukubwa 33 by 22 each ni surveyed price 25nmb each, Kia kuna plots mbili moshono one is 25 by 20 location nzuri sana @ 20 min n.a. nyingine 22 by 20 @ 12Mln. Kama uko...
Ninauza Viwanja vyangu vipo Mivumono Wazo Hill
Vipo karibu na njia panda ukiwa unatokea Wazo Hill
Ni viwanja vizuri, tambalale, huduma zote za kijamii zipo
Ukubwa: 20" x 20"
Bei: 9M (Maongezi...
Viwanja vipo katika eneo lillilopimwa na ni vya 20*20m, umeme upo na maji ya mradi mpya (dawasco)
Viwanja vipo 200m toka kinapojengwa chuo kipya cha Muhimbili na vinaanzia 7m to 13.5m
Barabara za...
Habari yana bodi.
Kwa yeyote mwenye uwezo wa ku Supply Mafuta ya Sunflower kwa kiwango kikubwa naomba anione PM (Mafuta lazima yawe ya kitanzania).
Akija PM, anipatie details kama...
Nauza laptop Dell latitude D620, HDD 160 GB, RAM 2GB, haina shida yoyote ni mpya kabisa bei ni 230,000 maelewano yapo, wale wa Mwanza au jirani wani-PM tafadhali.
Nyumba inauzwa ipo chang'ombe usalama ipo barabarani kabisa,ni eneo safi sana kwakuweka godown,yard ya magari,Kama wengine pembeni walivo fanya.bei ni milioni 550.Kama upo serious nichek 0716385824
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.