Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nina plots 3 ziko Singida Cha kwanza ni heka 9 Cha pili ni heka 8 Cha tatu ni hela 8.5 Kila plot kina mining Licence Anyone that will be interested plz contact me 0676 983196
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naitaji aridhi heka 5 Iwe dar,au mkoa wa jirani na dar Iwe imepimwa Budget yangu ni 10m. Kwa mawasiliano zaidi nicheki inbox Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Jipatie hii Offer. Bei: 169,999/- Karibuni.
0 Reactions
3 Replies
896 Views
Kipo Goba mjini, mita 300 kutoka stand.ukubwa 40 kwa 50 pako vizr na njia nzr inafikika,bei yake 35ml.bei ina maongezi Kwa maongezi na kupata tarifa zaidi wasiliana nami kwa simu no: - 0756060183
0 Reactions
0 Replies
529 Views
iwe haijatumika sana, namba D bajeti yangu mil 9. ni pm.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kiwanja chenye nyumba iliyoendelezwa na kufikia kwenye rental(vyumba 3, kimoja ni self container, choo cha ndani ya nyumba ). Bei ni 14m kwa serious buyer maongezi yapo, eneo lipo Morogoro...
0 Reactions
2 Replies
927 Views
Ndugu waheshimiwa walimu, Mwalimu wa bookkeeping anatafutwa kwa ajili ya kufundisha kidato cha I hadi IV Kama ni wewe au jirani yako au rafiki wasiliana nasi. 0753903809
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Duka gani naweza kupata laptop mpya aina ya lenovo ambayo ina ram 4gb? Naona kila nikipata inakuwa na ram ya 2gb. Naomba msaada!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Grant proposal writing Concept note writing Business proposals Business plans Marketing strategies Tender preparations Visit us, call 0692138944
0 Reactions
1 Replies
841 Views
Plots mbili ziko moriet ukubwa 33 by 22 each ni surveyed price 25nmb each, Kia kuna plots mbili moshono one is 25 by 20 location nzuri sana @ 20 min n.a. nyingine 22 by 20 @ 12Mln. Kama uko...
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Kwa anaeuza monitor ya desktop nahitaji,kwaajili ya matumizi ya nyumbani.iwe flat screen.
0 Reactions
7 Replies
903 Views
Ninauza Viwanja vyangu vipo Mivumono Wazo Hill Vipo karibu na njia panda ukiwa unatokea Wazo Hill Ni viwanja vizuri, tambalale, huduma zote za kijamii zipo Ukubwa: 20" x 20" Bei: 9M (Maongezi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Betri ya gari haina mda kabisa,
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Come with Samsung Warrany card Price 1.6m Contact 0659633720 OS Android OS, v6.0 (Marshmallow) Chipset Qualcomm MSM8996 Snapdragon 820 Exynos 8890 Octa CPU Dual-core 2.15 GHz Kryo & dual-core...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chochote ulichopenda pm au text 0652140160.....vilivyopo hapa ndyo vilivyobaki.. Culture za kike ni size 35,36 na 40.....karibuni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Viwanja vipo katika eneo lillilopimwa na ni vya 20*20m, umeme upo na maji ya mradi mpya (dawasco) Viwanja vipo 200m toka kinapojengwa chuo kipya cha Muhimbili na vinaanzia 7m to 13.5m Barabara za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari yana bodi. Kwa yeyote mwenye uwezo wa ku Supply Mafuta ya Sunflower kwa kiwango kikubwa naomba anione PM (Mafuta lazima yawe ya kitanzania). Akija PM, anipatie details kama...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza laptop Dell latitude D620, HDD 160 GB, RAM 2GB, haina shida yoyote ni mpya kabisa bei ni 230,000 maelewano yapo, wale wa Mwanza au jirani wani-PM tafadhali.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
[emoji41][emoji41][emoji41]
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Nyumba inauzwa ipo chang'ombe usalama ipo barabarani kabisa,ni eneo safi sana kwakuweka godown,yard ya magari,Kama wengine pembeni walivo fanya.bei ni milioni 550.Kama upo serious nichek 0716385824
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom