ni mtumba kutoka nje ni inch 19 ina DVD room HDMI na VGA port pia ina iPod dock bei ni 200k pia naweza exchange na simu, laptop ,tablet nicheki 0718097972 kwa maelezo zaidi na picha whatsapp hapa...
Eneo la ekari 8 lenye Hati lililopo Mwavi kwenye kona ya barabara kubwa ya Lami ya Bagamoyo Msataa na Mkenge road kabla hujafika kiwangwa 18kms from Bagamoyo mjini.
Linafaa kwa Makazi, Petrol...
Habari zenu waungwana,mie ni fundi wa umeme wa majumbani,nashughulika na maswala ya
-Nafaya wiring ya umeme katika nyumba ndogo mpaka ghorofa
-Narekebisha hitilafu/shoti za kiumeme katika nyumba...
Kiwanja kimepimwa kina hatimiliki, kina nyumba imejengwa imeishia kwenye lenta (1master&2single,sitting room dinning, public toilet) kiwanja kipo mita 600 kutoka barabara ya lami na kipo kwenye...
Kiwanja hiki kipo eneo la wazo hill katika wilaya ya k'ndoni, Dar Es Salaam Kiwanja Kipo Tambalale Pia Tayari Kina Nyumba Ya Kuishi Ya Vyumba 3 Na Sebure, Kipo Karibu Na Barabara Ya Kwenda Madale...
Je unamiliki duka la jumla na hata rejareja?
Unapata shida ya kufanya stock?
Hujui kama unapata Loss au Faida kwa siku,Wiki Mwezi na hata Mwaka?
Una duka moja au zaidi na yote unataka kupata...
Nakaribia kumaliza masomo yangu sasa na nina wazo la kufuga kuku wa Mayai hapa Dar es Salaam
Mtaji wangu ni millioni 1 natafuta eneo na kuku wa kuanzia!!
Naomba ushauri na Maelekezo
Ushauri...
Wakuu nina maeneo ninamiliki mlandizi pwani nahitaji kuyasafisha nianze kuyatumia, lakini yana miti ya magogo ya mkaa mengi sana ikiwa utafanikiwa kuyatengeneza mkaa unaweza kuvuna gunia sio chini...
Nyumba hii Inauzwa Iko mbagara Chamanzi Saku.
Ina 3bedroom,sitting room,dinning room,kitchen,store.
Bei ni 100 millions, pia bei inapungua. Tuwasiliane kupitia 0659 91 9292
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.