Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kipo barabara ya Goba, ukitokea mbezi ya kimara ni 2.5km na kutoka barabara ya lami ni mita kama 150. Barabara ni lami. Ukubwa ni 22m kwa 22m, kina banda kwa nyuma kama servant quarter flanan...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Bolsto Solutions Ltd, approved supplier wa EFD machines, tunatoa offer KWA MUDA MFUPI KATIKA KIPINDI HIKI CHA RAMADHANI, njoo ujipatie mashine yako kwa bei nzuri na kwa haraka bila usumbufu. Wahi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zetu wadau, kwa maitaji ya filters za magari na mitambo. Wasiliana na Fleetcare Ltd ambao ni authorised dealer wa Donaldson fitters Tanzania. info@fleetcare.co.tz sales@fleetcare.co.tz...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
0 Reactions
3 Replies
931 Views
wakuu, heri ya mwaka mpya kwenu nyote... mimi ni mwana uchumi mdogo ambaye nina kua, nina mpango wa kuingia katika biashara ya kilimo miezi michache ijayo.. Naomba kupata mashine bora za...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za hapa. Muda si mrefu nitapokea sigara za aina mbalimali toka Cuba. Wapenzi wa hii kitu nijulisheni kama mnahitaji. Zitakuwepo Kohiba,Romeo and Julieta n.k Pia anayejua wapi nitaweza...
0 Reactions
5 Replies
942 Views
Nimeitumia kwa muda wa mwezi mmoja na nusu! Tu haina tatizo lolote napatikana arusha Tanzania naitupa kwa tsh 115,000/= tu Piga 0755062244
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata mashine bora za kutotoleshea vifaranga kwa bei poa sana. Pia mashine zetu tunatoa garanti. 0658100001
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama unahitaji huduma hiyo hapo juu please contact Me inbox...
0 Reactions
2 Replies
837 Views
Ni nyumba yenye viyumba vitatu vya kulala, one master bedroom, two bedrooms, public toilet and bathroom, store kitchen, dinning, sitting room, a servant's quarter, a nice parking lot of 4-5 cars...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Plots mbili ziko moriet ukubwa 33 by 22 each ni surveyed price 25nmb each, Kia kuna plots mbili moshono one is 25 by 20 location nzuri sana @ 20 min n.a. nyingine 22 by 20 @ 12Mln Nitafute...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamii soft website expert Jamii soft website expert
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Pata mashine za kutotoleshea kwa bei nafuu kbisa. Tunatoa garanti kwa yeyote anunuaye bidhaa zetu. 0658100001
0 Reactions
2 Replies
927 Views
Kwa anayeweza kupata zaidi ya 150kg za sukari aje inbox ... Package ya kilo moja moja
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu nataka kukabiliana na panya buku katika makazi yangu, naomba kwa mwenye kufahamu anielekeze sumu bora kabisa ya panya.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna mashamba yanauzwa jaribu mpakani tomoni bei yake kwa kila heka ni shilingi milioni mbili. Zipo heka takribani ishirini. Kwa mawasiliano zaidi nitafute Whatsapp 0784979520.Liko jaribu pwani.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu Zangu Nimekuwa Na Shida Ya Haraka Kidogo. Naomba Mwenye Uwezo Wa Kunipatia Tsh 600,000 Ntampatia Baada Ya Mwez Mmoja Tshs 800,000. Dhamana Ni Vyeti Vyangu Vya Sekondari Mpaka Chuo Kikuu...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Pilipili ni kiungo kinachoongeza hamasa ya kula chakula na hutumika katika chakula cha aina yoyote...hii nmepika mwenyewe ktk mazingira safi na kua packed katika vifungashio salama kwa afya ya...
0 Reactions
3 Replies
866 Views
Gari iko vizuri sana na haina tatizo lolote Ina 4wd AC iko safi Automatic gear Inatumia petrol Power windows Model ya mwaka 1997 Bei ni milioni 9 tu. Angalia picha ukipenda karibu tufanye biashara...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom