Ina vyumba vinne master, Jiko , sebule, fence na parking nzur, maji , umeme pia nyumba inafikika Kirahisi!!
Bei:laki 5 kwa mwezi
Mahali:kibada kigamboni Dar es salaam
Simu:0718295182 au...
Wasalaam:
NAUZA kiwanja chenye ukubwa wa square metre 840(unsurveyed) kipo Kata ya GOBA eneo linaitwa TEGETA A bei ni tsh 20 million ni viwanja viwili nimeunganisha pamoja kina mikataba yote ya...
Habari wakuu.
Eneo la makazi na kilimo lililopo kilometa 20 toka msamvu kuelekea Dodoma na kilometa 5 toka barabara kuu iendayo Dodoma naliuza. Kuna Ekari 3 ambapo kila moja nauza...
Habari wakuu,
Naomba mwenye kreti za soda zikiwa na chupa tupu anitafute tufanye biashara.Nitumie ujumbe kwenye namba 0673404808, then nitakupigia.
Napatikana Dar es salaam.
Asanteni.
Samsung Galaxy s6 edge inauzwa laki tisa tu(900k), ni mpya ipo kwenye box.
Ram 3gb
Memory 32gb
Screen 5.1"
Karibuni sana,wahi maana zipo chache na wateja wetu wengi ni wauzaji wa madukani.
Rejea kichwa cha Habari hapo juu, kiwanja kizuri kipo maeneo ya tabata kinyerezi, Mbuyuni. Kipo eneo zuri na mazingira ya kuvutia.... Kina mapana ya mita 61 kwa 31....
Kwa maelezo zaidi na bei...
Habarini mimi si mjuzi wa mambo haya kiivyo ila juzi nimeletewa na jamaa kama 200 za unga wa red mercury ( kwa mujibu wake) vipimo tulivyofanya ni kumwagia kwenye lizla ile ya sigara ikawaka moto...
nategemea kuanza kuchimba tangawizi hivi karibun,,
naomba mdau anaejua au kuhitaji kiasi kikubwa tuwasiliane PM.
ni kuanzia tonne 20, iko njombe mpakan mwa songea
DAWA HII INATIBU MAGONJWA YAFUATAYO Lycopene ni dawa bora kabisa ambayo imetengenezwa kwa matunda yasiyo pandiwa mbolea ya kisasa kama nyanya.
dawa hizi ni asilia kabisa hazina mchanganyiko wa...
Habari wadau,
Kuna jamaa yangu anauza shamba ambalo ndani yake kuna nyumba 2.Ukubwa wa kiwanja 60x30.
Eneo lipo mita 200 toka barabara kuu ya Dar-Bagamoyo.
Please, kama una interest na hii...
Nyumba inauzwa ipo maeneo ya vetenary temeke.Ina
1.master room moja
2.guests rooms mbili
3.sebule/seating room moja
4.jiko
5.public toilet ya ndani
6.public toilet ya nje
7.visima vya maji viwili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.