Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wanaJF natafuta mtaalamu wa Tally Accounting Package anifanyie connection, anitengeneze chart of accounts na nimuulize kuhusu some features. Naombeni mnisaidie.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu, kwa wale Wanaohitaji Spanish tiles orijino, kwa bei che, mzigo unapatikana wa tiles ya 45 X 45 cm, red paste. Square metre ni vigae tano. Square metre inaanza @tsh 35000, bei inapungua...
0 Reactions
25 Replies
9K Views
Naomba kujuzwa wapi nitapata shamba la kununua au kukodi Ruvu Msaada pliz Nataka kulima mpunga, na mazao mengine yanakubali
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mie ni kijana mwenye miaka 27,natafuta chumba na sebule vya kupanga maeneo yafuatayo ndani ya Mwanza, 》 CCM kirumba 》Kirumba police 》 Mabatini (kusiko na mafuriko) 》Malimbe au SAUT 》Mwaloni 》 Na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
WHY BUSINESS PLAN FOR YOUR INVESTMENT? As KIMI DEVELOPMENT CONSULT LTD, we bring you atleast FOUR among many reasons why your Business idea or an investment needs a Business plan and also WHO...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
:flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flyp...
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Nataka nianze kujifunza mdogomdogo hii course. Naombeni wanaofahamu wapi wanapofundisha na mimi nijiunge. Shukrani.
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Nitapata wapi trekta la kunisaidia katika shughuli zangu za kilimo? Mimi niko Kagera.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama unahitaji kuwa na account za whatsapp 2 kwa kutumia kwenye simu moja kwa namba hiyo hiyo uitumiayo au nyingine (simu ya dabo line). Nitafute nikuwekee. Tsh. 5,000 Mawasiliano: 0655-659-115...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwenye Uhitaji wa Addressable Ionisation Smoke Detectors na Heat Detectors zinatumia apollo protocols MAKER:SHIELD UK COMPATIBILITY:Any Addressable Fire alarm and addressable Fire Suppression...
0 Reactions
0 Replies
444 Views
Mimi ni mfanyabiashara wa Electronics hapa Dodoma nilikuwa nahitaji kujua mambo yafuatayo kuhusu mkopo 1.Taasisi ambayo naweza pata mkopo wa kama milioni 5 2.Natakiwa niwe na nn kama mdhamana wa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu habarini. Nimekuwa mpenzi wa game za fifa hasa hii fifa 14, laptop nliyokuwa nikitumia imeharibika. naomba km una laptop min au yeyote ile yenye sifa hizi nitafute nkupe hela bajeti yangu...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Inaenda kwa 20m Low millage ya 2005
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Nina masoko ya madini aimba mbalimbali na vitu vya zamani kama rupia, kufuli, pasi nk. Kama unavyo nitafute kwa 0784-488 854
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanaJF. Ninaomba msaada wa mahali pa kuyapata Mashuka ya Uganda na Pakistan hapa Tanzania kwa bei ya jumla. Au kama kuna mtu anaushauri mzuri wa jinsi ya kufanya biashara ya mashuka...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwenye muziki kwa ajili ya kuburudisha wateja bar anijulishe
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MODEL: H6400 PRODUCT HIGHLIGHTS * Multi-System Compatible * Full HD (1920 x 1080) Resolution * Smart Hub / Smart Interaction 2.0 * Clear Motion Rate 400 * Full HD Active 3D Technology *...
0 Reactions
1 Replies
954 Views
NATENGENEZA VITU VINGI SANA VINAVYO HUSIKA NA GRAPHIC DESIGN TWENDE PAMOJA NAIMANI UTANIELEWA.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ndugu, Nahitaji mkopo wa 500000 ndani ya 24 hours ambao nitalipa tarehe 4 kwa riba ya asilimia 20. nina tatizo urgent. tafadhali niko serious. Ninamiliki biashara iliyosajiliwa, kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tunauza cement ya Twiga 10800 bila transport na usafir itakua 11300,, kwa dar tunapeleka kokotee ulipo na kwa mikoan tunachukua oda,, Cement ya kisarawe lucky cement kwa bei ya jumla 11000 pamoja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom