Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,388
Wakuu Najua wengi watashangaa uzi wangu ila in short nina shida sana na naomba mwenye msaada hapa In short nimepoteza Indentification cards zangu zote leo na kwa sasa sina kitambulisho chochote kabisa zaidi ninayo tu BirthCertificate ambayo haiwezi saidia kitu.
Sasa Hivi vitambulisho vimekwamisha shughuli zangu zote na ninataka kwenda kupokea hela fulani MoneyGram wananiomba vitambulisho kama hivi, DHL kuna mzigo wangu nimetumiwa waliponiletea migo leo jioni ninapoishi mwenye pikipiki kaniomba kitambulisho sina, mzigo kaurudisha na walau ningekuwa na kadi ya mpiga kura afadhali na nahisi siwezi kuipata kwa sasa au kwa hiki kipindi.
Wakuu kwa anayemfahamu mtu ambaye atanisaidia kupata hivi vitu fasta, mimi hapa DSM ni mgeni na sifahamiani na watu wengi najua wengi wana marefa wao hapa basi naomba ni-LINK either Driving License au Passport N:B ninayo TAX Identification number tayari hope kupata D.Licence haitakuwa na mlolongo mrefu kivile.
Contacts zangu: JF PM
Ntakupoza iwapo utanisaidia kwa njia yoyote kuvipata hivi au kwa mwana JF anayemfahamu mtu ambaye atanisaidia PLZ ni PM namba za huyo mtu
Sasa Hivi vitambulisho vimekwamisha shughuli zangu zote na ninataka kwenda kupokea hela fulani MoneyGram wananiomba vitambulisho kama hivi, DHL kuna mzigo wangu nimetumiwa waliponiletea migo leo jioni ninapoishi mwenye pikipiki kaniomba kitambulisho sina, mzigo kaurudisha na walau ningekuwa na kadi ya mpiga kura afadhali na nahisi siwezi kuipata kwa sasa au kwa hiki kipindi.
Wakuu kwa anayemfahamu mtu ambaye atanisaidia kupata hivi vitu fasta, mimi hapa DSM ni mgeni na sifahamiani na watu wengi najua wengi wana marefa wao hapa basi naomba ni-LINK either Driving License au Passport N:B ninayo TAX Identification number tayari hope kupata D.Licence haitakuwa na mlolongo mrefu kivile.
Contacts zangu: JF PM
Ntakupoza iwapo utanisaidia kwa njia yoyote kuvipata hivi au kwa mwana JF anayemfahamu mtu ambaye atanisaidia PLZ ni PM namba za huyo mtu
MCHANGO WAKO NA MSAADA WAKO NI MUHIMU HAPA