Shamba la Pines(miaka miwili) Linauzwa bei chee

Shamba la Pines(miaka miwili) Linauzwa bei chee

mitale na midimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2015
Posts
10,419
Reaction score
17,761
Mahala: Biharamulo karibu na Kijiji cha Lusaunga.
Miti😛ines zina umri wa miaka miwili tayari ziko miche 1500
Ukubwa, Heka mbili
Bei:Mil4.5 maelewano yapo
ARDHI: Ina rutuba ya kutosha

Faida:
Ndani ya miaka michache ijayo utaweza kuvuna na kupata kipato wakati huohuo ardhi hiyo ya thamani inabaki kuwa yako kwa kilimo chochote upendacho.

PM kama uko interested.
 
Mahala: Biharamulo karibu na Kijiji cha Lusaunga.
Miti😛ines zina umri wa miaka miwili tayari ziko miche 1500
Ukubwa, Heka mbili
Bei:Mil4.5 maelewano yapo
ARDHI: Ina rutuba ya kutosha

Faida:
Ndani ya miaka michache ijayo utaweza kuvuna na kupata kipato wakati huohuo ardhi hiyo ya thamani inabaki kuwa yako kwa kilimo chochote upendacho.

PM kama uko interested.

Lina ukubwa gani ?
 
Kusoma hujui au ndio umesoma kwa mwendokasi?
Teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh
Watu wana kiBri, yaan hata kama unatafuta mteja. Akizinguwa kidog, anapewa yake.
 
Kusoma hujui au ndio umesoma kwa mwendokasi?

Nashkuru kwa kunisawazisha kaka! ni kweli nilipita bila kuona hilo hali ya kuwa limeandikwa tayari. Asante sana kwa kutumia muda wako kwa hilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom