Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa mwenye samsung note 3 iliyoharibika beyond repair au iliyofungiwa na TCRA tuwasiliane aniuzie. Ni PM kama unayo kuna kitu nahitaji humo.
0 Reactions
0 Replies
505 Views
ina 16GB internal memory
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hizi saa zinauzwa bei gani dukani nimezipenda sana
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Natafuta photo pronter kwa bei poa kwa ajili ya stationery yangu
0 Reactions
1 Replies
963 Views
Hizi sehemu hata kama ulizaliwa na kukulia katika miji mitakafu harafu ukatembelea kupata vinywaji, kwa watoto wa kike (wahudumu) walioko hapa lazima ndoa iyumbe tu ama kuvunjika. Ilibidi...
2 Reactions
20 Replies
6K Views
Nyumba ipo kibaha picha ndege, inavyumba nane double mbili na single nne, na uwanja kidogo upo, ila bado haijapauliwa, msingi umemiminwa na imepigwa pia renta kwa kumiminwa kisha ikamaliziwa kozi...
0 Reactions
0 Replies
774 Views
Habari wana jf,sisi tunajishughulisha na masuala ya uchimbaji visima kwa ajili ya mashamba ( I mean kumwagilia ) au kwa matumizi ya nyumbani. Bei zetu ni shillingi elfu sabini kwa mita moja (...
0 Reactions
1 Replies
480 Views
Nauza laptop dell vostro Ram 4gb Processor lntel (R) core (Tm) duo cpu Hard disk 500 Charge 1:30 -2:00 Bei laki 4 na 50 tu Contacts 0717575778
0 Reactions
2 Replies
824 Views
Habari ndugu zangu Nauza laini ya uwakala ya Tigo pesa bei 270,000/=.Nakupa pamoja na simu yake pia ina kamisheni kidogo ya mwezi huuu,ukiichukua ni kuanza kazi tu. Pia nauza na computer hp ikiwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Engine mpya,ukitaka ya bomba au box unapata bei maelewano.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
wakuu nahitaji gari used toyota probox iwe namba D au C iwe haijawah kubadilishwa rangi nipo Moshi budget yangu ni 6 million inaweza kupanda kidogo kutokana na quality ya gari mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
....Nauza viti na meza yake vinafaa sana kwa ajili ya kuweka sehemu ya dinning au Officene au kuweka kwa nje kwa ajili ya kupumzikia... Ni vizuri sana.. Ni product kutoka South Africa... Bei ni...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Yeyote auzaye fridge kwa bei hiyo ani PM atume na ka picha Fridge (najua itakua used) lakini iwe katika hali nzuri, iwe na uwezo wa kugandisha vizuri kwa sababu naihitaji kwa shughuli hiyo *Nipo...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
20M*24M , kipo chanika lukooni , kutoka barabara ya rami(videte) nikama 500M na kutoka chanika stendi 900M . Njia ni nzuri ,panafikika kirahisi kwa gari , umeme upo karibu na nisehemu iliyojengeka...
0 Reactions
0 Replies
720 Views
Hp Pavilion 15 Ram 4gb Harddisk 500gb Core i5 Processor @1.6Ghz 2.3GHz dual boost dts sound Battery 2hrs Used Bei 510,000/= 0684-141476 Dar es Salaam.
0 Reactions
6 Replies
868 Views
Ni original 16gb Kingston memory card. bei:12,000Tsh tu. 0673206639. karibu sana NAPATIKANA KINONDONI MANYANYA,DAR ES SALAAM
2 Reactions
29 Replies
5K Views
Jamani wapendwa naombeni kujua naweza pata simu gani nzuri kwa bajeti ya 600000/=. ahsante kwa ushauri wenu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nahitaji CPU ya kununua RAM kuanzia 2 GB hard disk kuanzia 5000.desk top
0 Reactions
4 Replies
838 Views
Back
Top Bottom