Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Naomba kujua uimala wa GARI HIZI 3 VITZ SPACIO IST. N IPI GARI BORA NA NGUMU .binafsi nashindwa nichague ipi,mawazo yenu tafadhari
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Nahitaji Baadhi ya Movie za 2016 kama 50.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana JF Naomba kufahamishwa sehemu ninayoweza pata mabox ya kubebea vifaranga vya kuku. Mabox hayo huwa yametobolewa ili kuruhusu hewa kuingia wakati vifaranga vinasafirishwa. Nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
911 Views
Gari hii inauzwa 4mln ...Gari inapatikana tabata Gari haina tatizo lolote..... 0715591141 kwa mawasiliano zaidi
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Nyumba nzuri,mpya na ya kisasa ipo maeneo ya Mbagala chamazi.Imejengwa ktk ubora wa hali ya juu na ipo karibu na barabara na huduma nyengine za kijamii...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Nina machungwa nahitaji kuyauza kenya, nicheki whatsap 0769685873
0 Reactions
2 Replies
998 Views
Habari zenu waungwana bila shaka mko poa lengo la kuanzisha Uzi huu ni kuomba kama kuna mdau anaefaham soko la bamia kwa dar,, nina bamia la kutosha nalimia bagamoyo ,,navuna kila baada ya siku moja
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wataalam!! Kwanza napenda kutoa malalamiko yangu kwa hiyo namba iliyowekwa hapo imeishia na 36, sijui ndo salesmen wao au lah, khaa...hapokei simu, akipokea anaongea uwongo khaaa..... _BACK TO...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Naomba kujulishwa kama kuna mwenye kufahamu wapi kuna gym maeneo haya ya Temeke, mtoni, mbagala hadi chamazi, mbande.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wanunuzi wa magari yaliyotumika wanapatikana masaa 24, siku saba za wiki. Kama una miliki gari na unahitaji kuliuza wasiliana nasi tukupatie mtu wa kununua tukuondolee msongo wa mawazo unaoweza...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Sandals size 40,41,42,43, 44 Jumla 13500tzs - kuanzia 5pcs Moja ni 19500tzs Wasiliana nasi whatsapp #0712888884 Call: #0624888884 #0754888588 Tupo Dar, #qualitycentremall #mikoani pia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wadau nina milioni nne 4000, 000/= nahitaji Carina Ti yenye hali nzuri
0 Reactions
0 Replies
819 Views
Nyumba ipo boko/ mianzini dare salaam Plot size sqm 1000 Haina title deed Ina vyumba vitatu vya kulala ikiwemo master moja Ina jiko Sebure Na sehemu ya kulia chakula Pia ina tailiz ndani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwakweli hii mobile application yenu ni nzuri sana. Kwa watu kama sisi tunaokesha mashambani kulima matikiti inatusaidia sana, ni swala la kuhakikisha tu chaji itakua full, lakini swala la...
3 Reactions
1 Replies
886 Views
I am looking for Accounting Package capable of doing the following: Inventory Control Selling Customers Management Billing Human resources / Payroll Procurement Financial...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu natafuta accounting system kwa ajili ya biashara yangu ninayotarajia kuanzisha soon. Aliyenayo au anamjua mtu aliyonayo naomba ani PM Ni kwa ajili ya small business Natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
883 Views
Msaada Kwa Anaefahamu, Tuwasiliane
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Kama unayo nitafute kwa namba 0716490062
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wana JF, Kwa kina dada au kina mama, kina baba na vijana, Kama una tatizo la kutokuwa na hamu ya tendo isiyotokana na msongo wa mawazo naomba utuone, tunatumia cleanser kusafisha na badae tuna...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jipatie Samsung A7 kwa bei chee kabisa Price: 470000 (laki nne na sabini) Location : Dar es salaam Wahi mapema imebakia moja
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom