Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Engine mpya,ukitaka ya bomba au box unapata bei maelewano.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
wakuu nahitaji gari used toyota probox iwe namba D au C iwe haijawah kubadilishwa rangi nipo Moshi budget yangu ni 6 million inaweza kupanda kidogo kutokana na quality ya gari mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
....Nauza viti na meza yake vinafaa sana kwa ajili ya kuweka sehemu ya dinning au Officene au kuweka kwa nje kwa ajili ya kupumzikia... Ni vizuri sana.. Ni product kutoka South Africa... Bei ni...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Yeyote auzaye fridge kwa bei hiyo ani PM atume na ka picha Fridge (najua itakua used) lakini iwe katika hali nzuri, iwe na uwezo wa kugandisha vizuri kwa sababu naihitaji kwa shughuli hiyo *Nipo...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
20M*24M , kipo chanika lukooni , kutoka barabara ya rami(videte) nikama 500M na kutoka chanika stendi 900M . Njia ni nzuri ,panafikika kirahisi kwa gari , umeme upo karibu na nisehemu iliyojengeka...
0 Reactions
0 Replies
720 Views
Hp Pavilion 15 Ram 4gb Harddisk 500gb Core i5 Processor @1.6Ghz 2.3GHz dual boost dts sound Battery 2hrs Used Bei 510,000/= 0684-141476 Dar es Salaam.
0 Reactions
6 Replies
870 Views
Ni original 16gb Kingston memory card. bei:12,000Tsh tu. 0673206639. karibu sana NAPATIKANA KINONDONI MANYANYA,DAR ES SALAAM
2 Reactions
29 Replies
5K Views
Jamani wapendwa naombeni kujua naweza pata simu gani nzuri kwa bajeti ya 600000/=. ahsante kwa ushauri wenu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nahitaji CPU ya kununua RAM kuanzia 2 GB hard disk kuanzia 5000.desk top
0 Reactions
4 Replies
839 Views
UBUYU WA BABU ISSA ,kindoo kidogo sh 40,000,pakti 1500 jumla ni 1000, Ubuyu mtamu wenye ladha ya kipekee kutoka kwa babu Issa Zanzibar,karibu uanze biashara kwa mtaji Mdogo na faida Mara...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
HEBU JITAFAKARI JE UMEANDIKIWA KUISHI MAISHA UNAYOISHI SASA HUYU KAKA Anaitwa Hassim Orison Shayo,ni Senior manager wa Oriflame alianza Oriflame tareh 6/6/2016 Yaani mwaka Jana.. Ana miezi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jibu la matatizo lipo Bora Computer Solution. Tunatengeneza laptop na desktop aina zote, tunabadilisha Operating System(OS) kama vile Windows 7, 8, 10 na kwa mahitaji ya kubadilisha vioo vya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu poleni na majukumu Nauza magari - Napatikana dsm Toyota Harrier 2007 model Engine Vvti, 4cylinder, 2390cc Mileage 82000km Tsh 29milion Call/whatsap 0714 521128 Toyota Premio 2005...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
natafuta line za tigo pesa na mpesa anayeuza please ni PM
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavoeleza nahitaji chumba kimoja na sebule self. Mitaa ya tabata ijitegemee kwa umeme.bug 150000.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Swali ni Mimi ni mtumishi wa uma upande wa elimu ila nina certificate nilitaka nikasome diploma nchini Kenya inawezekana na gharama zikoje na je nkirudi naweza panda mshahara kama wenzangu?Asanteni.
0 Reactions
2 Replies
824 Views
Kuroiler ni kuku wa kienyeji mwenyewe asili kutokea India. 1. Anakua kwa haraka 2. Ana anza kutaga akiwa na umri wa miezi 4 na nusu..... Na atataga kila siku kwa miaka 2 3. Ana ongeza uzito kwa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
isiwe na tatizo lolote, Napendelea Nikon CoolPix A100 (Megapixel 20.1) Kama hii Ila kama kuna mwenye aina tofauti na hiyo twaweza kuzungumza.
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari wana jamvi Ninauza Acer laptop e510 kwa Tz Shs 350,000. Imetumika miezi 6 . Nipo Mbweni - Dar es salaam
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Iphone 5s 16Gb Gold colour Iko kwenye hali nzuri. PM kwa biashara Au 0716740803 .
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom