Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana JF Naomba kufahamishwa wapi naweza pata mabox ya kubebea vifaranga vya kuku. Mabox hayo huwa yametobolewa ili kuruhusu hewa kuingia wakati vifaranga vinasafirishwa. Nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natafuta pick-up, single cabin or double (Iwe Toyota), kwa kusambaza mizigo ya dukani. Kama unayo ama unamfahamu mwenye nayo, tuma picha hapa ama kwa whatsap no: 0785 310 998
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Njombe institute inawatangazia nafasi za masomo kwa kozi mbalimbali za hoteli, zikiwemo 1. Tourism and tour guiding 2. House keeping 3. Computer 4. Cake making 5. Food beverage service 6. English...
0 Reactions
0 Replies
547 Views
BIASHARA imeisha
0 Reactions
7 Replies
3K Views
tuna skimu na kupiga rangi kwa bei nafuu kulingana na wakati
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Ninauza Tecno J8 ina kama mwezi since imenunuliwa ila uchumi umebana so sina namna. Anayehitaji anicheki Pm, napatikana Dar maeneo ya Ubungo
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nahitaji tecno y6 toleo la mwanzo la laini 1
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Wadau, Naomba mnisaidie majina ya kumbi za harusi za wastani zilizopo hapa DSM angalao ziwe chini ya milion 1. Kama itawezekana naomba mnisaidie na Contact zao kabisa. Natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Brand New Samsung Galaxy j7prime au hata used kidogo na iko kwenye hali nzuri naitaka kwa laki 4.Fasta piga 0762742349 tufanye biadhara.NIKO ARUSHA.
0 Reactions
1 Replies
508 Views
Specification zake. 8Gb internal memory 1Gb RAM Price 130,000/= For more info hook me up via 0676475414.
1 Reactions
7 Replies
7K Views
Habari wakuu.... Valentines day loading.. Mpatie mama.. Mke..Dada..jirani.. Na wengineo zawadi ya pochi Valentine hii.. Dar delivery IPO.. Mkoani tunatuma.. PM kwa mawasiliano zaidi.. _karibuni!
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wakuu, nahitaji vifaranga aina ya koroiler, je kwa hapa arusha naweza pata wapi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
karibuni
0 Reactions
3 Replies
2K Views
WALE WA DAR TEGETA TEGETA TEGETA: Chumba (master) na sebule safi. Stoo. Jiko lako mwenyewe. Public toilet (kama ukipata mgeni, sio aingie chumbani tena) Full tiles, Gypsum, Sebule ina matundu ya...
1 Reactions
51 Replies
5K Views
Used laptop computer inauzwa bei sh 700,000 haina tatizo, nahitaji pesa ya haraka Specs 750gb HDD RAM 6 gb Intel (R) core (TM) i5 2.4ghz Windows 10
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Nauliza ni jinsi gani naweza kuwa wakala wa betting, niko Mkoa wa Singida, nahitaji kuweka mashine hii ya Betting kwenye ofisi yangu. Maswali Muhimu... 1. Je, nianzie wapi kupata mashine hii? 2...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Acer V5 Ram 4gb Processor 2.4 Ghz Hdd 500gb 620,000/= Dar es Salaam 0684141476
0 Reactions
1 Replies
699 Views
PROMOTE YOUR BUSINESS, PRODUCTS & SERVICES, EVENTS AND OFFERS TO A FRESH AND ACTIVE DATABASE OF 1.3 MILLION+ WHATSAPP USERS WITHIN DAR ES SALAAM & EVEN MORE, BEYOND. ADVANTAGES: 1. Our platform...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tunauza mbao fupi za dawa zenye kudumu kwa muda mrefu na zisizo weza kushambuliwa na wadudu waalibifu Pia itakuepusha na utapeli wa futi kwani mbao hizi ni bora sawa na zile ndefu za kupima...
2 Reactions
0 Replies
5K Views
Back
Top Bottom