Hodi wanaJF! Naomba kukaribia kwenye jukwaa!

Ubumuntu

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
14,314
10,775
Kwanza naomba mnisamehe kwa kuingia jamvini bila hodi. Nilijiunga na jamvi baada ya tarehe 31 octoba ya 2010. Kilichonivutia awali ilikua ni kupata matokeo ya uchaguzi. Ila baada ya kuona michango ya wanaJF kwenye fora mbalimbali nikavutiwa na kuweza kutoa mawazo na michango yangu. Sikufuata maadili,ndio maana nimeanza kwa kuomba radhi na kujitambulisha rasmi ndani ya jamvi. Natumaini nitapokelewa ili niweze kua mmojawapo wa wanaJF katika kutoa mawazo na michango yenye malengo ya kulipeleka taifa letu mahala pazuri ambapo keki ya taifa itafaidisha na kuliwa na waTZ wote. Asanteni.
 
Kwanza naomba mnisamehe kwa kuingia jamvini bila hodi. Nilijiunga na jamvi baada ya tarehe 31 octoba ya 2010. Kilichonivutia awali ilikua ni kupata matokeo ya uchaguzi. Ila baada ya kuona michango ya wanaJF kwenye fora mbalimbali nikavutiwa na kuweza kutoa mawazo na michango yangu. Sikufuata maadili,ndio maana nimeanza kwa kuomba radhi na kujitambulisha rasmi ndani ya jamvi. Natumaini nitapokelewa ili niweze kua mmojawapo wa wanaJF katika kutoa mawazo na michango yenye malengo ya kulipeleka taifa letu mahala pazuri ambapo keki ya taifa itafaidisha na kuliwa na waTZ wote. Asanteni.

Karibu mwanangu hii ndio jf tujenge nchi yetu
 
Asante simba mangu. Na asante kwa wote watakaonikaribisha jamvini.
 
karibu sana mkuu unajua unapofukuzwa na Simba hata ukikuta nyumba ya mtu hatupiki hodi
kwanza unazama ndani, kujitambulisha baadae
 
karibu mkulu,,,,namkubali sana huyo wa kwenye avatar yako....hope tutegemee ma thinking kama yake
 
Asanteni sana kwa wote mlionikaribisha..na tayari najisikia niko nyumbani....:A S new:
 
karibu mkulu,,,,namkubali sana huyo wa kwenye avatar yako....hope tutegemee ma thinking kama yake

ni kweli kabisa hashycool..malcom na Mwalimu ni watu heros na icons kwangu..na fikra na filosofia zao zimechangia kiasi kikubwa sana katika namna ya kuwaza na kuargue kwangu..natumaini michango yangu katika jamvi itasaidia katika kueneza na kudumisha fikra za hawa jamaa wawili

asante sana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom