Hodi hodi wana JF...

Mporipori

Member
Nov 22, 2010
44
0
Kikamavu naingia, salam wafamilia,
mengi ninayo semea, ya chombo hiki murua,
Nyingi pongezi pokea, Kwa yote mliyofikia,
sasa mefika wasaa, naomba yenu ridhaa
 

Mporipori

Member
Nov 22, 2010
44
0
Nashukuru wakubwa, sasa nimekuwa mwenyeji s'how.. bt swali moja laniumiza kichwa ni vp ndugu zetu wasio na access ya computer (ie. vijana vijijini) twaweza kuwafanya washiriki na sisi..?
 

TUKUTUKU

JF-Expert Member
Sep 14, 2010
11,769
4,032
Mimi sina haja ya kukukaribisha, kwa kuwa ulishaingia siku nyingi ndani!
 

Ehud

JF-Expert Member
Feb 12, 2008
2,685
335
Karibu ndani ingia, kihekima tupo wote,
Vuta kigoda kalia, Hekima tele uchote,
Nawe pate hekimika, Jamii nayo faidike,
JF yao wenye busara, Heshimu uheshimike.
 

Katavi

Platinum Member
Aug 31, 2009
41,956
12,591
Katavi

Nakupongeza kwa kazi nzuri unayofanya ya kukaribisha wanachama wapya.

Si wengi wanaokuja bila ya makaribisho kutoka kwako.
Nashukuru sana Gaijin..........nimejikuta napendelea sana kushinda katika hili jukwaa!!!!!
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom