Nakuja na Baraza la mawaziri

Nduka

JF-Expert Member
Dec 3, 2008
8,552
2,359
Salaam wazalendo wenzangu, nilikuwa nawachungulia tokea zamani leo nimeamua rasmi kuingia ndani najua kwa utamaduni wa kitanzania mtanikaribisha ukizingatia nimechagua siku ya baraza jipya kutangazwa.
 
karibu kijanaaaa. baraza la mawaziri ni wizara mbili tu binafsi ndo nimeona wamekwa watu makini ardhi na ujenzi
 
mh poa kijana karibu ila baraza la mawaziri halipo poa sana ni wizara 3 tu ndizo jamaa kaweka poa wizara ya mambo ya ndani Shamsi, Magufuli na labda Anatibaijuka ila huyu dada wacha nimuone zaidi.
 
Karibu sana, kuhusu baraza hakuna jipya sana tusubiri tuone utendaji wao hasa hawa wapya.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom