Hodi wanaJF! Nimekuja kuwashika!

mshikachuma

JF-Expert Member
Dec 2, 2010
2,853
619
Hello wanaJF! mambo zenu? Anyway hatimae niko in ze house.
Nitapenda kushirikiana na ninyi ktk topic mbalimbali pale panapobidi kufanya hivyo!

Ahsanteni!
 

Fab

JF-Expert Member
Apr 16, 2010
762
14
mie nimevaa jinsi na mkanda kama mke wa ndugu mmoja hapa jamvini..lol
Karibu!
 

ZeMarcopolo

JF-Expert Member
May 11, 2008
14,011
7,192
Chuma cha reli au cha pua?
Bora wewe unayeshika chuma, kuliko wale wanaoshika pembe.
Karibu sana kama u mpya, kama mzoefu aluta continua.
 

KIMICHIO

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
1,179
80
Karibu ila angalia usije shika ukuta mana umepakwa rangi na haujakauka.
 

Ubumuntu

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
14,308
10,753
Karibu sana mkubwa. Ila usishike kwa mikono utaungua maana pamoto hapa.
 

papason

JF-Expert Member
Sep 14, 2010
5,121
5,648
Ohoooo huuu ni mtambo wa Chuma haushikiki... all in all karibuu sanaaa kwenye jamvi hili la CDM
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom