Nyahende Thomas
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 211
- 104
Wadau wa JF,
Napenda kutumia fursa hii kujitambulisha kwenu rasmi. Nimekuwa nikishiriki kwenye jukwaa hili kama mgeni, lakini sasa nimeamua kwa dhati kabisa kuwa mwanachama.
Nimekuwa nikivutiwa sana na namna watu wanavyokuwa huru kutoa mawazo yao na jinsi yanavyojadiliwa aidha kwa kuungwa mkono ama kwa kupingwa lakini yote ni kwa nia moja tu, kuelimishana, kusaidiana, kuelekezana na kukosoana.
Hivyo basi ni matarjio yangu kwamba nitapata ushirikiano wa kutosha toka kwa wakongwe wa jukwaa hili.
Viva JF.
Napenda kutumia fursa hii kujitambulisha kwenu rasmi. Nimekuwa nikishiriki kwenye jukwaa hili kama mgeni, lakini sasa nimeamua kwa dhati kabisa kuwa mwanachama.
Nimekuwa nikivutiwa sana na namna watu wanavyokuwa huru kutoa mawazo yao na jinsi yanavyojadiliwa aidha kwa kuungwa mkono ama kwa kupingwa lakini yote ni kwa nia moja tu, kuelimishana, kusaidiana, kuelekezana na kukosoana.
Hivyo basi ni matarjio yangu kwamba nitapata ushirikiano wa kutosha toka kwa wakongwe wa jukwaa hili.
Viva JF.