Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
I need some friends from this forum, then i will tell you what made me join here....
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Naamini wote mko vizuri, nafurahi kupata fursa ya kuwa mmoja kati wanachama wa jamvi hili, naomba kupata baraka zenu wakubwa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wenyeji.nimekuwa nikipita mtaa huu maarufu.nyumba yenu ni ya kipekee.naomba ruhusa niingie ndani.kuku mgeni asiye na kamba mguuni hawezi kuwa zawadi ya kimburu au...?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni matumain yangu mt wazima wa afya njema.Dhumuni la ujumbe huu ni kutaka kuwajulisha na mie huyu nimejiunga kikosini toka fasi za magharibi ya tz. Napenda kuwasalim wana jf popote mlipo...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Heshima kwa wote humo,naomba nami kujiunga nanyi naamini sijachelewa
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hodi wadau wapendwa, kilingeni naingia, mgeni katika jamvi, pasi na hofu yoyote, kuwa mmoja kati yenu, mawazo kuchangia, ustawi wa jamii kuneemeka. Mkumbamasaka jina langu, kukokotoa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu, baada ya kuwa msomaji wa jamvi hili kwa miaka kadhaa kwenye maswala ya siasa, sasa nimejiunga rasmi na nia ni kwenda kuleeee..... Kwenye jukwaa la mahusiano, mapenzi, urafiki...... Nadhani...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
naitwa smati, natoka tanzania, africa mashariki. sinywi pombe si baki wanawake ila ni mtundu kiasi. napenda kuwa mwanachama. naomba form ya kujiunga.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nawasalimia, mie ni ngeni humu kwenye ukumbi, nawasalimia na kuomba ushirikiano wenu N' dau wa zenj
0 Reactions
6 Replies
918 Views
Haya haya ndio kwanza naingia kwenye baraza.Nimesoma jamii forum kwa miaka kumi sasa nimefurahishwa na majambo yake. Naomba mnipokee kwa mikono miwili.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ninawasilimu wana jf, am happy and proud to be here
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nawasalimu wote Mimi ni mtoto wa Congo, swahili yetu na ya Tanzania si sawa ila nafikiri tutasikilizana. Nawatakiya wote mwaka mpya 2011
0 Reactions
12 Replies
3K Views
m
ahaaaaa!
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Hello good people! I am so glad to be here at "the home of the great thinkers"!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hello! ma fellow members naitwa Stephano ma desire is two shere nanyi all good things in jamiiforum.Thanx.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hello wanajamii,naitwa Mr Nalonga.....nimepata Rasmi kibali cha kuishi katika kijiji chenu hiki cha Thinkers hii leo....Naamini mkaa karibu na waridi lazima anukie Asanteni.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hi JF Members! I am in na tuko pamoja!!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Knowing that I can freely share my views with some unique ppl around the globe is an opportunity I'm gladly embracing. Thanx to ya all!!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Baada ya kuwa mwanachama mfuatiliaji wa nje (guest) nimeona nipandishe status yangu na kuwa member kabisa. Hoping for a hot welcome from you all. Thanks and best wishes in this festival season...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
WE ALL KNOW THAT EDUCATION INCREASE KNOWLEDGE. SO WE ASSUME THAT ANY ONE WITH EDUCATION WILL BE THE MIRROR OF SOCIETY AND IS THE TRUE THING THAT WHEREVER YOU HAVE PASSED THROUGH YOUR EDUCATION...
0 Reactions
0 Replies
941 Views
Back
Top Bottom