Kama unamiliki suruali zaidi ya kumi na tano na una boksa mbili tu wewe ni mchafu!
Kama una pea moja tu ya viatu wewe ni mchafu,mwanaume viatu
Kama unapiga mswaki Mara moja tu kwa siku wewe ni...
Liberia’s Finance Minister bans employees with ‘unnatural’ hair
Liberian Finance Ministry: No Natural Hair, No Work
The Ministry of Finance in Liberia has directed its security guards to...
Miaka ya karibuni kumekuwa na tabia ya wanaume wengi wa Dar kujichubua na kusingizia kuwa wanakuwa weupe kwa sababu Dar kuna joto la kung'arisha(kiuhalisia sio kweli)na wengine wameenda mbali...
Habari wana JF,
Naomba mnisaidie kuziboresha nywele zangu pia zikue haraka maana ni zakipilipili hata nisuke miaka miwili nywele siwezi kubana.
Naomba mnisaidie
Black Hair Products Making Our Women Sick
Black hair products are responsible for the explosion of cancer, fibroids and other health complications among black women. Studies are confirming that...
Asalaam
Kwa mliowahi kutumia na mnaotumia mafuta ya rapid clair,white express na queen elisabeth naombeni mnipe feedback,na matokeo mmeanza kuona baada ya mda gan wa matumizi?
Habari Jf,kama kichwa cha habari kinavyo jieleza na taka kujua tiba yake na mafuta yapi ni mazuri kutumia kwa ngozi zilizo mix(mafuta&kavu) kwa sasa na tumia cleare cocoabutter ila naona ina ni...
Kabla ya kuziangalia hizi hatua 10 za kuanzisha bustani yako nyumbani ni vyema tukaweza kujua umuhimu wa bustani ya nyumbani.
Baadhi ya umuhimu wa bustani ya nyumbani ni pamoja na:
1. Kupata...
Mamboz,
Jamani kama mnakumbuka nilikua natafuta mchumba na hali yangu niliyonayo, wengi walijitokeza wakidhani natania labda, walihisi mimi ni mzuri sana ila natania.
Kusema ukweli nipo kama...
Top 25 Most Beautiful African Women in 2018
With marble-like skin and bold features, women from Africa have always had a unique charm. Most of these women have strong, able bodies and features...
Jaman nina chunusi hadi zinapandiana, sikuwahi kuwa nazo kabla ila nadhan zimetokana na ujauzito, kama kuna mtu anajua dawa, muda mwingine hadi natamani nisitoke nje.
Habari za mda huu waungwana?
Naomba mnifahamishe tofauti ya Body spray na pafyum kimatumizi wanaume wa mikowani huwa hatutumii hyo kitu ila nilipohamia Dar nikakuta watu wa Dar wanatumia wwakua...
Tupo kiwanja na wana tunamalizia weekend. Kaja jamaa kaongozana na mrembo mzuri tu lakini alivyokuja kutusalimu hiyo harufu ya kinywa ni balaa. Mwana katutambulisha jamaa katoka mkoani.
Ni hayo...
A Showcase Of African Designs At The Lagos Fashion Week
The highlights of the 2018 Lagos Fashion Week held from the 24th-27th of October.
Lagos Fashion Week is a fashion platform that drives the...
Ngozi kama kiungo cha mwili:
Ngozi ndicho kiungo kikubwa kuliko viuongo vyote vya mwili wa binadamu. Kazi kubwa za ngozi ni kuvifunika viungo vingine vyote kwenye mwilini na kuvilinda dhidi ya...
Habari za jumapili wana JF.
Katika masuala ya mavazi kuna mambo Mengi sana. Unakuta watu wamelingana kimo kila kitu hadi rangi na hata hadhi ktk jamii. Lakini wanapovaa kuna mmoja anasifiwa sana...
kuna jamaa yangu ameniomba nimsaidie kupost hizi vitu anauza kwa bei nafuu sana ili amalize akalete mzigo mwingine maana analetaga nj'e kutoka dubai na china...kwa atakayehitaji amtafute kwa...
Tuwe tunajitathmini kabla ya kuvaa hili vazi mana utakuta mtu kwapa jeusi,anavuja mijasho,hajanyoa au kwapa lina mamichirizi hata kama umependeza kiasi gani hizo huenda zikawa kasoro za utanashati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.