SPINE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 1,062
- 1,136
Wakuu wa jukwaa hili la utanashati habari za mida hii.
Kama kichwa cha habari kilivyo, naomba kufahamishwa juu ya hilo swali nikivaa kadeti then nikachomekea na shati, kuna jamaa wanadai kadeti huwa haitakiwi kuchomekea shati .
Kwangu napata wakati mgumu maana nikichomekea ndio naona nimetokelezea Hii hali naona inajitokeza hata kwenye kuvaa jeans na kuchomekea naombeni mawazo kwenye kipengele cha utanashati hii ishu imekaaje ili nitokelezee zaidi.
Kama kichwa cha habari kilivyo, naomba kufahamishwa juu ya hilo swali nikivaa kadeti then nikachomekea na shati, kuna jamaa wanadai kadeti huwa haitakiwi kuchomekea shati .
Kwangu napata wakati mgumu maana nikichomekea ndio naona nimetokelezea Hii hali naona inajitokeza hata kwenye kuvaa jeans na kuchomekea naombeni mawazo kwenye kipengele cha utanashati hii ishu imekaaje ili nitokelezee zaidi.