Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
  • Sticky
Wapendwa, Nimeona nifungue uzi huu maalum kwa wadada wanaopenda mitindo ya nywele. Katika uzi huu nitakuwa nikiweka mitindo mbalimbali ya nywele kila nitakapopata nafasi, lakini pia kwa wale...
14 Reactions
373 Replies
222K Views
  • Sticky
Habari wakuu, Nimeona na mimi nitoe darasa kidogo kuhusu mavazi sababu na mimi ni kipaumbele changu katika maisha. 1.Epuka kuvaa marangirangi Wakati unamatch mavazi jitahidi kupunguza idadi ya...
94 Reactions
481 Replies
194K Views
Nini madhumini na matumizi ya vitu vifuatavyo wavaapo wakina dada na akina mama katika jamii yetu? 1: Kipini cha puani a.k.a (Kishaufu) iwe kushoto au kulia 2: Kikuku iwe mguu wa kushoto au kulia...
4 Reactions
4K Replies
974K Views
Hebu tujuzane hapa aina ya Perfume au Body spray unayotumia! Mimi natumia Knowledge Perfume, wewe je?
59 Reactions
3K Replies
567K Views
Jamani kuna ndugu yangu anateseka sana na kitambi amejaribu kunywa whisky za aina yote akiamini atapunguza kitambi jawabu -ve...kwenu wapendwa...afya bora kwa kila mtanzania... Apunguze kula...
2 Reactions
1K Replies
454K Views
Kwa wale ambao tuna nywele asilia a.k.a natural hair, tayari tunafahamu changamoto kadhaa tunazokumbana nazo. Kwa wale mnaofikiria kuanza kuwa na nywele asilia, karibuni sana tuendelee kujuzana...
1 Reactions
506 Replies
387K Views
Kupendeza ni vile mtu unavyojipanga katika mavazi, na moja ya mavazi muhimu kwa ukanda huu wa Afrika ni vazi la kitenge ambapo naweza sema wanaafrika wamesahau kabisa vazi hili japo kidogo kwa...
5 Reactions
320 Replies
364K Views
Kumbuka perfume nzuri ni ile inayomfanya mtumiaji kujisikia vizuri, kuongeza confidence na uchangamfu, na kusaidia kuexpress haiba na mood yake. Kwa hiyo natakiwa kuchagua the best and right one...
7 Reactions
624 Replies
230K Views
Wapendwa ndugu zanguni hasa wadada.. Kama kuna kitu au vitu vilikuwa vinakutatiza kuhusiana na swala zima la urembo wa salon, basi chukua nafasi hii kuniuliza swali lolote lile linalohusiana na...
19 Reactions
375 Replies
216K Views
Wanawake wengi wa kiafrica hupenda kusuka nywele mbalimbali lakini wengi wao sikuhizi hupenda kusuka mtindo ujulikanao kwa jina la yeboyebo ,mtindo huu hutumia rasta zaidi ili kuweza kuwa na...
15 Reactions
111 Replies
208K Views
Wakuu wana JF, Poleni kwa majuku ya kila siku. Naombeni ushauri wenu, nimehamia hapa DSM na kuanza maisha, takribani week imepita. Nilijibanza kwa ndugu sasa nimepata vyumba 2 ambavyo ndo...
1 Reactions
435 Replies
168K Views
Naomba mnisaidie hapa wapo ambao hupenda mwanaume anukie kiasi kwamba akiwa mbali unaeeza msikia ma akipita lazima ikae kwa muda mrefu ile harufu na wapo wanaoenda mwanaume anukiee kidogo yaani...
6 Reactions
641 Replies
155K Views
Habari wadau wa JF, Nimekuwa nikifanya utafiti mdogo wa wanaume wengi wanaojihusisha na ubunifu wa mavazi duniani kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja lakini nikashindwa kupata majibu yaliyo...
3 Reactions
716 Replies
131K Views
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala.. Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani...
25 Reactions
631 Replies
126K Views
Habari zenu wana urembo, Naomba msaada wa kupewa ushauri wa moisturizer gani nzuri kuupaka usoni kwa wale wenye combination skin or oily skin uso wangu una mafuta ambayo hayachemki bali...
0 Reactions
48 Replies
124K Views
Siku hizi wanawake wetu wanashindana kubandika manywele ya bandia ili wawe na nywele ndefu zilizodondokea mgongoni... But wapo watu, mimi nikiwemo huwa napenda kuona mwanamke akitoka na nywele...
6 Reactions
365 Replies
121K Views
Hakuna mwanamke ambaye hajawahi kuvaa khanga, vilevile hakuna mwanaume ambaye hajawahi kufunikwa na khanga (utotoni si ulibebwa )....Yafuatayo ni maajabu ya khanga 1/Historia Asili ya vazi hili...
19 Reactions
326 Replies
121K Views
Hebu wanaukumbi tushee hii kitu, hebu tuambizane. Je unatumia mafuta gani mwilini/lotion/cream? Unaogea sabuni gani? Mimi kuanzia natumia lotion ya Ingram, naogea sabuni ya Pearl na mafuta ya...
9 Reactions
351 Replies
120K Views
Dreadlocks, ni aina ya nywele ambayo ina historia kubwa kwa mwanadamu kabla ya style yoyote ya nywele, ni style inayotumika kiimani mfano imani ya Uhindi (Saddhus), Some of Tibetian Buddhists...
17 Reactions
330 Replies
116K Views
  • Redirect
Wengi wanasema ukiona mwanamke kavaa cheni mguuni (Kikuku) ni kiashiria huyo mwanamke analiwa nyuma lakini wengine wanasema ni urembo tu. Kwa uzoefu wangu mdogo kupitia video za ngono nimeona...
4 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom