Misuko mipya ya yebo yebo 2018

Numbisa

JF-Expert Member
Dec 12, 2016
268,184
1,095,288
Wanawake wengi wa kiafrica hupenda kusuka nywele mbalimbali lakini wengi wao sikuhizi hupenda kusuka mtindo ujulikanao kwa jina la yeboyebo ,mtindo huu hutumia rasta zaidi ili kuweza kuwa na mvuto .
22158984_135576133753583_1751620120100208640_n.jpg

Mtindo huu husukwa sana na watu wote kwa kuwa umeonekana hauna madhara kwa mtu yeyote wakiwemo wadada,wamama, pamoja na watoto
13725472_1463841516974596_607887565_n.jpg

Msusi wa yeboyebo hutumia masaa mawili au moja na nusu kuweza kummaliza mteja wake kwani kuna baadhi ya misuko mingine huchukua zaidi ya masaa manne kuweza kukamilika .
26870037_195986847813149_2086629566348001280_n.jpg

Yeboyebo imeonenekana kushika chati kwa kwa kasi kwani wanawake wengi husuka msukohuo tofauti na misuko mingine .
[
17268093_1804199213233435_6921604307359891456_n.jpg
18160991_545518925836518_7026455067624472576_n.jpg


Misuko mingine inaendelea ndani ya uzi huu
 
Wanawake wengi wa kiafrica hupenda kusuka nywele mbalimbali lakini wengi wao sikuhizi hupenda kusuka mtindo ujulikanao kwa jina la yeboyebo ,mtindo huu hutumia rasta zaidi ili kuweza kuwa na mvuto .
View attachment 684615
Mtindo huu husukwa sana na watu wote kwa kuwa umeonekana hauna madhara kwa mtu yeyote wakiwemo wadada,wamama, pamoja na watoto
View attachment 684613
Msusi wa yeboyebo hutumia masaa mawili au moja na nusu kuweza kummaliza mteja wake kwani kuna baadhi ya misuko mingine huchukua zaidi ya masaa manne kuweza kukamilika .
View attachment 684611
Yeboyebo imeonenekana kushika chati kwa kwa kasi kwani wanawake wengi husuka msukohuo tofauti na misuko mingine .
[ View attachment 684609 View attachment 684610
Huo wa pili na wa tatu kutoka mwisho ni bei gani na rasta zaweza tumika bonda ngapi??
 
Back
Top Bottom