C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
Naomba mnisaidie hapa wapo ambao hupenda mwanaume anukie kiasi kwamba akiwa mbali unaeeza msikia ma akipita lazima ikae kwa muda mrefu ile harufu na wapo wanaoenda mwanaume anukiee kidogo yaani mpaka umkumbatie ndio utajua kuwa anan7kia.
Wapo wengine wanaume wapaka body spray hawana nafasi kwao wao wanataka wanaume wenye perfume hata kamani jasmine wao twende tu.
Wapo wengine kuna perfume na perfume wao atleast cologne kwa mbaali ndio itaamsha consideration.
Kwa upande wako wewe ni aina gani ya perfume inakupa mzuka kut8ka kwa mwanaume?
Wapo wengine wanaume wapaka body spray hawana nafasi kwao wao wanataka wanaume wenye perfume hata kamani jasmine wao twende tu.
Wapo wengine kuna perfume na perfume wao atleast cologne kwa mbaali ndio itaamsha consideration.
Kwa upande wako wewe ni aina gani ya perfume inakupa mzuka kut8ka kwa mwanaume?