Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Ni zaidi ya miaka 2 sasa mbolea za YARA ukiulizia kwa wauzaji hawataki kuuza kwa Ruzuku, wanadai hawalipwi kwa wakati na wananunua “cash” na wao wakiuza kwa ruzuku pesa yao inachelewa sana...
1 Reactions
7 Replies
554 Views
Training, Research, Regulations and PRODUCTION. 1). Utafiti wa kilimo(TARI) 2).Uthibitishaji wa mbegu(TOSCI) 3).Kudhibiti wa pembejeo(TPHPA & TFRA) 4).Uzalishaji na Usambazaji mbegu(ASA) 5)...
4 Reactions
6 Replies
290 Views
Ufugaji wa samaki kwa vizimba ni njia rahisi na yenye tija kwa wafugaji samaki kibiashara. Nitakuelezea hapa hatua na gharama zake na mambo mengine ya kuzingatia. 1.Vibali vya uendashaji wa...
6 Reactions
49 Replies
21K Views
Hivi karibuni Rubaba Media tumepokea simu na ujumbe mwingi kutoka kwa wafugaji wa nguruwe maeneo mbalimbali nchini. Changamoto kubwa inayojirudia ni vifo vya nguruwe kutokea kwa makundi, hali...
0 Reactions
2 Replies
306 Views
Naombeni msaada kwa wajuvi. Kuna namna mtu anaweza jua ukubwa wa shamba kwa kutumia simu yake?
1 Reactions
9 Replies
530 Views
Wakuu, Migomba ni "heavy feeders". Kama kwa sasa unavuna mikungu ya pichani kulia na unatamani kuvuna hiyo mikubwa ya kushoto hakikisha kwanza hulinyimi shamba lako maji kisha shambani kwako...
5 Reactions
13 Replies
865 Views
Habarini wanajukwaa.... Kwa yeyote mwenye shamba la kilimo na ufugaji na anahitaji matokeo bora katika mradi wake yupo kijana ana uzoefu wa kutosha kwenye kilimo na ufugaji hasa kuku na nguruwe...
2 Reactions
6 Replies
503 Views
Chama cha wafugaji kibiashara(Tanzania commercial cattle society) kimeandaa maonesho makubwa ya mifugo na mnada yatakayoanza tarehe 14-16 juni 2024. Yatafanyika katika shamba la Mbogo ranches...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Kwa yeyote ambaye amewahi kulea vifaranga, atakubaliana nami kuwa hatua hii ndiyo ngumu zaidi kwenye ufugaji wa kuku. Binafsi, kitu kilichonichosha sana mwanzoni ni kuamka usiku kuongeza mkaa ili...
0 Reactions
0 Replies
303 Views
Kama unapata changamoto ya Kufuatilia Faida na hasara shamabani kwako au daftari linakuchosha kupiga hesabu nyingi,tumia Fuga App kurahisisha kufahamu faida unayopata au hasara Pakua Fuga app...
3 Reactions
5 Replies
413 Views
Nipe mchanganyiko mzuri wa chakula il bata atage mayai zaid ya 20
2 Reactions
4 Replies
316 Views
Hali ya joto na aina ya udongo iliyopo mkoa wa Mtwara inaruhusu kabisa kufanya kilimo cha mazao ya Maharage na Vitunguu endapo tu utakuwa na chanzo cha maji cha kuaminika lakini watu hawalimi...
6 Reactions
41 Replies
2K Views
Naomba kwa wazoefu wa mikoa ya Dar, Morogoro, Dodoma, Iringa, Mbeya mnipe uzoefu wenu. Wafugaji wengi wa kuku wanauza kuku kwa mazoea sana, mnunuzi anakuja anamshika anamtikisa kidogo hivi...
4 Reactions
9 Replies
660 Views
Habari wana jukwaa, Mimi ni mkulima na mfanya biashara mdogo wa zao la zabibu na mzalishaji pia wa wine..Nina habari njema kwa wale wanao hitaji kununua Mchuzi wa Wine(Mvinyo) halisi wa Dodoma...
3 Reactions
2 Replies
218 Views
Wakuu, Naomba wataalamu msisaidie,siku hizi imekuwa adimu sana kuwaona vipepeo kirahisi tofauti na hapo zamani. Nataka niwavutie vipepeo shambani au kama kuna uwezekano wa kununua mbegu mahali...
4 Reactions
17 Replies
367 Views
Natamani kumshauri mwanangu akasomee utaalamu wa kufuga nyuki chuo kikuu. Ninachojiuliza ni kuwa je, ni vyepesi kiasi gani au ni ngumu kiasi gani mtu kujiajiri kwenye ufugaji nyuki ukiwa na...
1 Reactions
168 Replies
46K Views
Habari zenu wadau. Naomba kupatiwa dawa mujarrab ya kutibu ugonjwa wa mafua na uharo kwa kuku wa aina zote maana kwangu hili tatizo lishakuwa sugu. Muwe na siku njema
0 Reactions
3 Replies
253 Views
Habari za leo wakulima na wafugaji wenzangu. Mmea huu una maajabu sana kiasi cha kwamba unahitaji tu Alfalfa kuwa 3% ya lishe ya mfugo wako kwa siku. Ukizidisha basi mfugo wako atasambuka kwa...
1 Reactions
3 Replies
849 Views
Hiki ni kipande kidogo (teaser) cha Episode ya Kwanza ya podcast yetu mpya SHAMBA TALKS 🎙️. Baada ya kusikiliza madai kutoka kwa wafugaji, sasa tunaingia upande wa kitaalamu— ✔️ Je, kibiashara...
1 Reactions
3 Replies
281 Views
Back
Top Bottom