Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Hiki ni kipande kidogo (teaser) cha Episode ya Kwanza ya podcast yetu mpya SHAMBA TALKS 🎙️. Baada ya kusikiliza madai kutoka kwa wafugaji, sasa tunaingia upande wa kitaalamu— ✔️ Je, kibiashara...
1 Reactions
3 Replies
284 Views
Leo tunaendelea rasmi na somo la Uandaaji wa Mpango Biashara (Business Plan) kwa wafugaji na wakulima Hili ni somo muhimu sana kwa yeyote anayefanya au anayepanga kuanza kilimo na ufugaji wa...
1 Reactions
1 Replies
204 Views
Kwa mfugaji mmoja mdogo, kifaa kimoja kilimuokoa kati ya hasara nakuleta matumaini. Andiko hili linahusu kitu ambacho wafugaji wengi hukipuuza mwanzoni — udhibiti sahihi wa joto na unyevunyevu...
2 Reactions
0 Replies
233 Views
KUMBUKIZI Kuna tofauti kubwa sana kati ya nguruwe wa kienyeji na nguruwe wa kisasa wa kibiashara. Bila kufahamu tofauti hizi, mfugaji anaweza kuingia kwenye hasara bila kujua wapi amekosea...
0 Reactions
0 Replies
301 Views
📌 KUMBUKIZI LA UHALISIA “Ng’ombe mmoja akiwa amezaa, huwezi kukosa lita 25 za maziwa kwa siku ukiwa na ng’ombe bora na lishe sahihi. Mimi nina zaidi ya ng’ombe 10, na soko la maziwa ni kubwa...
1 Reactions
3 Replies
493 Views
Habari Ndg naomba kwa wadhoefu wa field msaada mchanganuo wa gharama kwa ekari moja wa mazao yafuatayo tafadhali nipate mwanga 1. Nyanya ekari moja 2.Vitunguu vya kawaida ekari moja 3.Hoho...
2 Reactions
8 Replies
672 Views
Kwa mujibu wa TAPIFA (2024) 🐖 Tanzania hutumia takribani tani 79,000 za nyama ya nguruwe kila mwaka, lakini huzalisha tani 27,000 pekee. 👉 Tani 52,000 huagizwa kutoka nje kila mwaka. Huu si...
0 Reactions
0 Replies
204 Views
Tanzania ni nchi inayotembea juu ya mabega ya wakulima na wafugaji. Kila sahani tunayoweka mezani ni matokeo ya jasho lao—wakati mwingine jasho la mwisho kabisa. Lakini cha kushangaza ni kwamba...
4 Reactions
10 Replies
884 Views
📌 KUMBUKIZI Tulipata fursa ya kumtembelea Afande Ntale, askari mpambanaji na mwenye maono. Licha ya majukumu yake kazini, hakuona sababu ya kuachana na ufugaji wa ng’ombe wa maziwa. Kwa kupitia...
1 Reactions
1 Replies
244 Views
WAFUGAJI WENZANGU, TUJIFUNZE PAMOJA Moja ya sababu kubwa zinazofanya mayai yasitotolewe vizuri siyo mara zote sababu ni mayai mabovu, wakati mwingine ni KUKOSA UDHIBITI SAHIHI WA JOTO NA UNYEVU...
1 Reactions
3 Replies
216 Views
Habari wanajamvi, Naomba kufahamu mahali wanakopatikana mbuzi kwa wingi na bei nafuu niko dar nahitaji wengi kwa biashara kama unafahamu mkoa, wilaya au kijiji basi naomba mnifahamishe.
6 Reactions
63 Replies
4K Views
Zao la nazi pia hujulikana kama mti wa uzima kutokana na kuishi kwa muda mrefu. Kilimo cha minazi ni uwekezaji mkubwa kwa sababu mkulima anaweza kurithisha hata kizazi chake. Kwa bahati mbaya...
7 Reactions
44 Replies
7K Views
KUMBUKIZI 📌 Hapa ni zaidi ya Miaka m3 nyuma ambapo tulimtembelea Mzee kwezi na akatueleza na kutusanua fursa inayopatikana Katika Ufugaji wa ng'ombe wa Maziwa. Hapa alieleza jinsi ambavyo...
1 Reactions
20 Replies
748 Views
Wasalaam watu wa Mungu, Pasi na kuchelea twende sanjali kwenye mada. Uhaba wa mafuta ya kupikia kero ya miaka mtawalia. Ni fursa ya uwekezaji kwa biashara ya muda mrefu hata kwa mtaji mdogo au...
3 Reactions
1 Replies
174 Views
  • Redirect
2 Reactions
Replies
Views
💡Je, unajua? Ukirekodi gharama zako zote kwenye Fuga App,inarahisisha kufuatilia faida na hasara zako kwa urahisi ukiwa popote pale kupitia simu yako📱kwa ajili Ufugaji Wako wa Kuku Huna haja ya...
3 Reactions
2 Replies
406 Views
Usishtuke na kichwa cha habari—ni utani tu. Lakini ujumbe wake ni mzito na wa kweli 👇 🐄 Ufugaji wa ng’ombe ni fursa kubwa ya kiuchumi, haijalishi unaishi wapi: iwe ni kijijini, pembezoni mwa mji...
0 Reactions
0 Replies
221 Views
Hapa Tanzania ukisema kuna ng’ombe wanaoweza kutoa lita 40 za maziwa kwa siku, wengi watakushangaa—wengine hata watakupinga kabisa. Lakini ukweli ni huu: ng’ombe hao wapo. Ukienda nchi jirani kama...
1 Reactions
6 Replies
417 Views
Jamani habarini wana JF. Niko mbioni kufunga drip irrigation system shambani kwangu. Nimeona niachane na miradi mingine kwanza nikomae na hili. Nataka nilime vitunguu saumu kwa shamba lenye...
4 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom