A
Anonymous
Guest
Chama Cha ushirika Tunduru TAMCU viongozi wanatumia vibaya madaraka, wanapeana posho mlima Kama juzi hapa chama kilifanya kikao na wajumbe wa TAMCU ukumbi wa Skyway uliopo Tunduru bageti wametumia zaidi Milioni mia Nne na ushee (400)hiyo kwa siku mbili.
Naomba Waziri wa kilimo Chunguza madudu yaliopo Tunduru kupitia chama kikuu Cha Ushirika (TAMCU) viongozi wanatumiza Wakulima kwa faida yao.
Naomba Waziri wa kilimo Chunguza madudu yaliopo Tunduru kupitia chama kikuu Cha Ushirika (TAMCU) viongozi wanatumiza Wakulima kwa faida yao.