Mbuzi ni fursa ya utajiri

Mbuzi ni fursa ya utajiri

Imani rubaba

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2013
Posts
254
Reaction score
350
Tanzania ina zaidi ya mbuzi milioni 24, na idadi hiyo imeendelea kuongezeka kutokana na mahitaji makubwa ya nyama ya mbuzi ndani na nje ya nchi. Tafiti zinaonyesha kuwa ufugaji wa mbuzi ni moja ya shughuli muhimu zinazowapatia wananchi kipato katika maeneo mengi ya vijijini na mijini.

Mbuzi hawauzwi kama wanyama pekee, Wanaingiza fedha kupitia:

1.Uuzaji wa mbuzi hai

2.Uuzaji wa nyama

3.Uuzaji wa mbegu za kuzalisha

4.Uuzaji wa samadi

5.Uuzaji wa maziwa kwa baadhi ya mifugo ya maziwa

6.Biashara za sherehe, harusi na shughuli za kijamii

7. Masoko ya kidini yanayohitaji mbuzi kwa idadi kubwa

Hata katika biashara ya nyama, uzalishaji wa nyama ya mbuzi na kondoo nchini umeendelea kuongezeka, jambo linaloonyesha mahitaji ya soko yanavyozidi kupanuka.


Mbuzi mmoja jike mwenye usimamizi mzuri anaweza kuwa mwanzo wa kundi kubwa ndani ya miaka michache kutokana na uwezo wa kuzaa mara kwa mara na mara nyingi kupata watoto zaidi ya mmoja kwa uzao. Hiyo ndiyo sababu wafugaji wengi wenye mafanikio huangalia mbuzi kama "kiwanda cha kuzalisha mali" badala ya mnyama wa kuuza mara moja.

Je, ungependa kujifunza kwa undani?

Ndani ya Group la Tanzania na Kilimo tunafundisha kwa vitendo:

1. Ufugaji wa mbuzi wa nyama

2. Ufugaji wa mbuzi wa maziwa

3. Ujenzi wa mabanda ya kisasa

4. Lishe na afya ya mbuzi

5. Mbinu za kuongeza uzazi

6. Masoko na biashara ya mbuzi

7 Hesabu za faida na uwekezaji

Wafugaji wengi wamekuwa wakishangazwa na kiasi cha fursa walichokuwa wanakikosa kwa kukosa taarifa sahihi.

Jiunge nasi leo na ujifunze siri za kugeuza mbuzi kuwa biashara yenye faida

📲 Tuma NIUNGE Kwenda WhatsApp 0764 148 221

#UfugajiWaMbuzi #UfugajiKibiashara #Mifugo

3f00c4c53e605fa728a599dde39a8894_0.webp
 
Tanzania ina zaidi ya mbuzi milioni 24, na idadi hiyo imeendelea kuongezeka kutokana na mahitaji makubwa ya nyama ya mbuzi ndani na nje ya nchi. Tafiti zinaonyesha kuwa ufugaji wa mbuzi ni moja ya shughuli muhimu zinazowapatia wananchi kipato katika maeneo mengi ya vijijini na mijini.

Mbuzi hawauzwi kama wanyama pekee, Wanaingiza fedha kupitia:

1.Uuzaji wa mbuzi hai

2.Uuzaji wa nyama

3.Uuzaji wa mbegu za kuzalisha

4.Uuzaji wa samadi

5.Uuzaji wa maziwa kwa baadhi ya mifugo ya maziwa

6.Biashara za sherehe, harusi na shughuli za kijamii

7. Masoko ya kidini yanayohitaji mbuzi kwa idadi kubwa

Hata katika biashara ya nyama, uzalishaji wa nyama ya mbuzi na kondoo nchini umeendelea kuongezeka, jambo linaloonyesha mahitaji ya soko yanavyozidi kupanuka.


Mbuzi mmoja jike mwenye usimamizi mzuri anaweza kuwa mwanzo wa kundi kubwa ndani ya miaka michache kutokana na uwezo wa kuzaa mara kwa mara na mara nyingi kupata watoto zaidi ya mmoja kwa uzao. Hiyo ndiyo sababu wafugaji wengi wenye mafanikio huangalia mbuzi kama "kiwanda cha kuzalisha mali" badala ya mnyama wa kuuza mara moja.

Je, ungependa kujifunza kwa undani?

Ndani ya Group la Tanzania na Kilimo tunafundisha kwa vitendo:

1. Ufugaji wa mbuzi wa nyama

2. Ufugaji wa mbuzi wa maziwa

3. Ujenzi wa mabanda ya kisasa

4. Lishe na afya ya mbuzi

5. Mbinu za kuongeza uzazi

6. Masoko na biashara ya mbuzi

7 Hesabu za faida na uwekezaji

Wafugaji wengi wamekuwa wakishangazwa na kiasi cha fursa walichokuwa wanakikosa kwa kukosa taarifa sahihi.

Jiunge nasi leo na ujifunze siri za kugeuza mbuzi kuwa biashara yenye faida

📲 Tuma NIUNGE Kwenda WhatsApp 0764 148 221

#UfugajiWaMbuzi #UfugajiKibiashara #Mifugo

View attachment 3602200
Njoo private Nina wateja wa nje ya nchi wanahitaji Mbuzi hai...
 
Mbuzi mmoja jike mwenye usimamizi mzuri anaweza kuwa mwanzo wa kundi kubwa ndani ya miaka michache kutokana na uwezo wa kuzaa mara kwa mara na mara nyingi kupata watoto zaidi ya mmoja kwa uzao. Hiyo ndiyo sababu wafugaji wengi wenye mafanikio huangalia mbuzi kama "kiwanda cha kuzalisha mali" badala ya mnyama wa kuuza mara moja.
UOngo uko hapa, Mbuzi anayezaa mara moja Kwa Mwaka, itamchukua miaka mingapi kufikisha mbuzi 10? Mimba ya mbuzi ni 6month, na anapozaaa hulea kwanza Mtoto wake kabla hajapata Mimba nyingine
 
Mbuzi anabeba mimba miezi 5 halafu anazaa 1 au 2
Nguruwe anabeba mimba miezi 3 halafu anazaa hadi 16

Biashara ya ufugaji mbuzi kwangu hapana
Ufugaji wa mbuzi uwe kijamii au kisoaholojia Tu lakini si kwa biashara, yaani uwe shambani ukilima na mbuzi awe anasindikiza game tu
 
Kawaulize SUA kuna maprofessa lkn waliacha mradi wa nguruwe na wakaendelea na Ng’ombe
Ni ngumu kufunga safari hadi Sua kwenda kuuliza tu eti kwanini waliacha kufuga Nguruwe ilhali kuna taasisi na watu binafsi wanafuga Nguruwe na wanaongezeka kila kukicha

Kwa faida ya wengi kwanini wewe mwenyewe unaejua kwanini wameacha usitujuze tu ili kuepusha usumbufu lakini pia kusaidia watu wengine ambao labda wana mawazo ya kufuga Nguruwe
 
Back
Top Bottom