Jorgeny Trevoh
New Member
- Apr 25, 2026
- 1
- 0
Habari jamii forums Kuna changamoto ya kupanda kwa mbolea húsusan hizi za ruzuku na wakulima hatujapata taarifa yoyote.
Je, serikali imeondoa ruzuku katika mbolea za ruzuku bila kutoa taarifa kwa wakulima?
Mfano mbolea Kama SA mwanzo ilikuwa 54,000 na sasa inauzwa 61,000.
Pia soma ~ TFRA: Tumekamata Wafanyabiashara kwa kuuza mbolea kinyume na maelekezo ya Serikali
Je, serikali imeondoa ruzuku katika mbolea za ruzuku bila kutoa taarifa kwa wakulima?
Mfano mbolea Kama SA mwanzo ilikuwa 54,000 na sasa inauzwa 61,000.
Pia soma ~ TFRA: Tumekamata Wafanyabiashara kwa kuuza mbolea kinyume na maelekezo ya Serikali