Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Good evening Leo ninapenda tuandike kuhusu fursa ya kilimo cha papai. Na,hapa nitagusia zaidi kilimo cha papai hybrid. Katika kilimo cha papai kuna hatua za kuzingatia ili mtu aweze kupata...
2 Reactions
12 Replies
326 Views
Nimefuga kwa miaka kadhaa ,kwa mtu ambaye anataka kuanza serious ufugaji wa kuku 2026 ,ningemshauri azingatie haya Habari ya mwaka mpya wafugaji wenzangu, Kila mwaka kuna watu wengi wanaanza...
11 Reactions
8 Replies
2K Views
Afrika Kusini mzalishaji mkubwa wa mahindi Afrika inatarajia kuweka rekodi Mpya ykuzalisha Nafaka hiyo kufuatia uzalishaji wa Tani milioni 16 ikipita uzalishaji wa mwaka Jana tani mil.15. Kwa...
7 Reactions
65 Replies
1K Views
KUMBUKIZI 📌 Hapa tulipata fursa ya kumtembelea Mzee Hassan Migeto, mfugaji wa ng’ombe wa maziwa kutoka Mkuyuni – Mwanza. Alitueleza kwa uwazi safari yake ya ufugaji, changamoto alizokumbana nazo...
5 Reactions
54 Replies
2K Views
VITU TISA Kutotolesha mayai si kuweka mayai kwenye boksi lenye taa joto, kama ambavyo Wengi wanajaribu kufanya na kusubiri siku 21: Tengeneza mfumo. Ni vitu tisa. Kwa sababu hapa...
1 Reactions
1 Replies
283 Views
Anonymous (01f4)
Nauliza hivi hizi bei za mbolea zilizopanda wakati huu Serikali inafahamu hii changamoto maana hatuoni tena umuhimu wa ruzuku Maana sasa mbolea ni shilingi 85,000 kwa mbolea ya kukuzia hadi...
2 Reactions
10 Replies
261 Views
🐓S&Q_GROUP_INTERNATIONAL LIMITED🐓 AGIZA NASI VIFARANGA BORA KWA VIWANGO VYA KIMATAIFA 0781647066 ____________________________________________ 📠☎️ 0781647066...
6 Reactions
24 Replies
3K Views
Washikaji eeeh Leo ninatamani niwape taarifa kidogo kuhusu dawa imayoitwa PARAFORCE. Sasa hii ni dawa inayotumika kuua magugu, nyasi na hata kukausha mazao wakati wa mavuno mfano zao la PAMBA...
5 Reactions
14 Replies
357 Views
Sina picha ya kuambatanisha lakini kupitia maelezo mtapata picha kamili ya ugonjwa wa kuku wangu. Iko ivi,mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, kuku wangu wadogo kama wa miezi mitatu minne hivi...
3 Reactions
8 Replies
221 Views
Wadau, Nahitaji kulima maparachichi. Kwa mwenye ufahamu zaidi naomba kujua changamoto na nini nifanyeje ili nieweze kufanikiwa. MASWALI YA WADAU WENGINE KUHUSU ZAO HILI Kama kuna mtaalamu wa...
5 Reactions
239 Replies
118K Views
Leoo tugusie kidogo kuhusu mbolea. Wakulima wengi hasa wale tuliozoea matumizi ya mbolea huwa tunapenda sana kutumia mbolea kama SA, DAP, UREA nk Lakini umeshawahi kuwaza kutumia mbolea ya asili...
5 Reactions
11 Replies
308 Views
Salam Wana jukwaa. Mimi ni mfanyabiashara. Natafuta machimbo ya nafaka Kanda ya ziwa na viunga vyake. Nataka nipate nafaka kutoka kwa wakulima moja kwa moja au wafanyabiashara ambao Bei zao...
0 Reactions
6 Replies
432 Views
Habari wadau wa JF,kama wewe ni unataka kuanza ufugaji wa kuku na unafikiria uanze wapi?....Jibu ni rahisi anza na Fuga App. Itakusaidia kujifunza na kusimamia shamba lako kiurahisi sana Ukiwa na...
1 Reactions
8 Replies
559 Views
Nilikiwa kwenye Mkoa wa Kagera ambapo kuna mwenendo unaoongezeka wa wakulima wa ndizi kutumia chokaa katika mashamba yao. Wakulima hao wanadai kuwa matumizi ya chokaa husaidia migomba kustawi...
2 Reactions
6 Replies
361 Views
Wapendwa Habari zenu Poleni na majukumu ya kulijenga Taifa. Lengo la huu uzi ningeomba kwa wale waliowai kulima nyanya Mkoani Mbeya tupeane ushauri msimu gani wa kulima na vitu gani vya...
2 Reactions
3 Replies
780 Views
Kama unadeal na ukulima nyanya Naomba nicheki kwa 0713 039 875 tufanye biashara
1 Reactions
2 Replies
128 Views
--- 🐖📌 ELIMU KWA WAFUGAJI Ugonjwa wa Homa ya Mapafu kwa Nguruwe (Swine Pneumonia) --- 🔍 Ugonjwa huu ni nini? Ni maradhi yanayoathiri mfumo wa upumuaji wa nguruwe. Husababisha shida ya...
1 Reactions
1 Replies
473 Views
Habari za muda huu madaktari.... Nina ng'ombe 2 zinaumwa, ila sijui nini tatizo. Wa kwanza jike. Dalili alizonazo ni kutoshiba vizuri(tumbo halijai), ila anakula kuanzia asubuhi(saa 3 au saa...
3 Reactions
7 Replies
262 Views
Kwa wale ndugu zangu mnaotaka Mbolea ya kuweka mashambani ili kuwauwa wadudu waharibifu wa mazao yote, nakuyakuza mazo kuwa mengi na kupata faida ya ukulima wako Mbolea ninayo nzuri na yenye...
1 Reactions
49 Replies
15K Views
Asalaam, Nilikua nataka kuijua kilimo cha ndizi, Ukiwa na hekamoja pale kiwangwa na Mtaji wa laki tano 1. Unaweza kuotesha mingapi 2. Mda wa rotation 3. Soko likoje
6 Reactions
20 Replies
267 Views
Back
Top Bottom