Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

"Kwa nyakati mbalimbali, nimepokea changamoto wanazokutana nazo baadhi ya wafugaji kwa mifugo yao kutaifishwa baada ya kukamatwa katika maeneo yaliyohifadhiwa. Mheshimiwa Spika, wabunge wengi...
1 Reactions
1 Replies
111 Views
Nimekuwa nao lakini ajabu kila mtu akiwaona anashangaa na wengi wananituhumu labda ninao kwa ajiri ya kazi flani za kishirikina ikizingatiwa na kwamba wakihitaji niwauzie siuzi maana mie ni kwa...
13 Reactions
74 Replies
2K Views
VITU TISA Kutotolesha mayai si kuweka mayai kwenye boksi lenye taa joto, kama ambavyo Wengi wanajaribu kufanya na kusubiri siku 21: Tengeneza mfumo. Ni vitu tisa. Kwa sababu hapa...
2 Reactions
3 Replies
487 Views
Mbunge wa Viti Maalum kutoka Mkoa wa Njombe, Rebecca Msemwa, amehoji Serikali kuhusu changamoto wanazokumbana nazo wakulima wa maparachichi katika mkoa huo. Anaeleza kuwa kuwa licha ya Njombe...
1 Reactions
2 Replies
157 Views
Ndugu zangu habari zenu.. nahitaji maoni na ushauri katika hili. Nahitaji kununua pori walau ekari 50 niligeuze shamba mkoani morogoro; ni wilaya gani mkoani morogoro ina ardhi nzuri hasa kwa...
5 Reactions
12 Replies
281 Views
Habari ndugu zangu,napenda kuwaeleza kile kilichotokea Hadi kuto kupatikana hapa jukwaani. Nilipotea hapa jukwaani kwa muda mrefu baada ya kutoa post yangu iliyo zungumzia shuhuda ya safari yangu...
4 Reactions
2 Replies
110 Views
Watu wengi wanatamani kufuga samaki lakini wanakosa taarifa sahihi juu ya namna bora ya kufuga samaki, moja kati ya vitu muhimu kwenye ufugaji wa samaki ni kuwa na mbegu bora ya samaki, nikisema...
10 Reactions
65 Replies
7K Views
Tanzania ina zaidi ya mbuzi milioni 24, na idadi hiyo imeendelea kuongezeka kutokana na mahitaji makubwa ya nyama ya mbuzi ndani na nje ya nchi. Tafiti zinaonyesha kuwa ufugaji wa mbuzi ni moja ya...
6 Reactions
12 Replies
577 Views
Yanapatikana kwa wingi nchini Kenya. Naamini na hapa kwetu Tz kuna watu wanaoyalima. Sina uhakika kama nimeshayala. Lakini leo katika kupitia makala za kilimo, nimekutana na mada inayoihusu...
5 Reactions
45 Replies
3K Views
Naishi kwenye Chumba Kimoja mjini naombeni msaada mfugo Gani nifuge hapa ndani na nipate hela
5 Reactions
52 Replies
567 Views
Cocoa hustawi katika maeneo yenye hali ya hewa ya joto kiasi na mvua nyingi au unyevu kutokana na uwepo wa chanzo kikubwa cha maji iwe mto mkubwa au ziwa au Bahari. Maeneo yanayofaa zaidi ni...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari Ninafikiria kuhusu kufanya mradi wa ufugaji wa mbuzi, kondoo na ng'ombe wa kienyeji katika shmba kuliko likae idle. Wazo nililonalo ni kuanza na mbuzi jike 15 wa kienyeji na dume moja...
1 Reactions
2 Replies
145 Views
If kuna mtu anajua masoko pls share with me. Nataka kufuga sungura
2 Reactions
6 Replies
700 Views
Ndugu wadau wa Jamii Forum As-salamu alaykum, Bwana Yesu asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo, Majeshi Majeshi. Kama mnavyofahamu, viongozi na wadau wengi wenye dhamana ya kufanya maamuzi hupita na kusoma...
0 Reactions
1 Replies
99 Views
Habarini za muda WanaJamiiForums. Mimi ni kijana ninayesomea udaktari wa mifugo( BVM) chuo kikuu cha kilimo SUA mwaka wa mwisho. Kwa sasa nipo dar es salaam Kwa mafunzo ya vitendo (Field...
1 Reactions
6 Replies
103 Views
Nimechoka kukaa bila kazi. Kama kuna mwenye dili la kuvuna mahindi au mazao mengine, naomba anielekeze. Kwa sasa nipo Dar es Salaam na niko tayari kusafiri popote penye kazi. Naomba mwenye...
6 Reactions
18 Replies
266 Views
Cha kwanza ambacho nataka kujua ni kuhusu ujenzi wa banda. Nahitaji banda ambalo kukubwatajua wanaishi humo mchana na usiku, lenye usalama ambalo halitavunjwa kiurahisi na wanyama kama fisi au...
3 Reactions
27 Replies
1K Views
Nimeona wauzaji wa mbegu kwa ajili ya chakula wakiuza hizi mbegu za maboga zenye rangi ya kijani zinazotoka India. Hizi mbegu wameziachakata hivyo hazifai kuotesha Nani anajua wapi zinapatikana...
2 Reactions
1 Replies
110 Views
Habari za mida Nahitaji mjasiriamali mfugaji wa kuku wa kisasa wa mayai Arusha ani supplier mayai kwa jumla imi niko Arusha Mjini, Karibu sana tufanye kazi pamoja
0 Reactions
1 Replies
98 Views
Habari wadau wa jukwaa,ikiwa unaswali lolote unataka kuuliza kuhusu ufugaji wa samaki aina ya sato kwa vizimba (caging) niulize hapa nitakujibu kadri ninavyoelewa kwa uzoefu wangu katika aina hii...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom