Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Ndugu zangu, mwaka jana July 2021 nilinunua mashine ya kusaga na kukoboa na kuifunga Tanga mwezi wa Septemba, 2021.
Mchanganuo wa Vifaa:-
1. Mashine ya Kusaga
Kinu size 75 - 1,200,000
Mortor 30hp - 1,300,000
Starter(On/Off)- 300,000
Pulleys 2 - 100,000
Mikanda 3 - 15,000
2. Kinu cha Kukoboa
Kinu rollers 3 - 1,200,000
Mortor 30hp - 1,300,000
Pulleys 2 - 100,000
Switch - 300,000
Mikanda 3 - 45,000
Vifaa vingine vya umeme:-
1. Main Switch 3Phase - 190,000
2. Socket braker 100A- 60,000
3. Wires, taa, earthrod,clamps, switches - 150,000
Vifaa vya usimikaji mashine
1. Channel/Chasis cha chini (2)- 250,000
2. Cement mifuko 2 - 29,000
3. Mchanga ndoo 30 - 15,000
4. Guta la Kokoto - 30,000
5. Usafiri Guta ( 2,3&4) - 10,000
Ufundi:-
1. Umeme - 200,000
2. Ujenzi/Mechanical - kufitisha vinu chini - 150,000
Gharama ya kufunga umeme 3 phase (jumla) - 1,200,000
Kodi ya frame - 50,000 kwa mwezi.
Ikumbukwe, umeme wa 10,000 unapata units 28.
MAPATO:
(Ukiwa huna mahindi)
Umeme wa 10,0000 = units 28= 28*1,000 = 28,000/=
(Faida 28,000-10,000=18,000)
Umeme wa 100,000, faida 180,000
etc etc.
Kwa kipindi cha miezi 15 niliyofanya kazi, nimetumia units 12,500 sawa na mapato ya sh 12,500,000/=
Hizi ni bei halisi na nimehusika fully mwenyewe kila hatua ya mradi huu mpaka sasa.
USHAURI:
Ukitaka kufungua mashine za kusaga na kukoboa, tafuta mtaji hata wa gunia 5 za kuanzia, maana wateja huenda mashine yenye mahindi, hivyo utauza MAHINDI, PUMBA na UNITS ZA UMEME kwa haraka.
Ikumbukwe, gunia 1 linatoa debe 3 za pumba, na kila debe ni 4, 000 ( bei ya sasa 2022 November)
Sina mtaji wa mahindi. Mahindi naletewa na watu/wateja, mm kwangu faida ni units za umeme zinavyopukutika.
Biashara sijaisajili, sina leseni bado.
Naombeni wazo la namna ya kuweza kukopesheka.
Mchanganuo wa Vifaa:-
1. Mashine ya Kusaga
Kinu size 75 - 1,200,000
Mortor 30hp - 1,300,000
Starter(On/Off)- 300,000
Pulleys 2 - 100,000
Mikanda 3 - 15,000
2. Kinu cha Kukoboa
Kinu rollers 3 - 1,200,000
Mortor 30hp - 1,300,000
Pulleys 2 - 100,000
Switch - 300,000
Mikanda 3 - 45,000
Vifaa vingine vya umeme:-
1. Main Switch 3Phase - 190,000
2. Socket braker 100A- 60,000
3. Wires, taa, earthrod,clamps, switches - 150,000
Vifaa vya usimikaji mashine
1. Channel/Chasis cha chini (2)- 250,000
2. Cement mifuko 2 - 29,000
3. Mchanga ndoo 30 - 15,000
4. Guta la Kokoto - 30,000
5. Usafiri Guta ( 2,3&4) - 10,000
Ufundi:-
1. Umeme - 200,000
2. Ujenzi/Mechanical - kufitisha vinu chini - 150,000
Gharama ya kufunga umeme 3 phase (jumla) - 1,200,000
Kodi ya frame - 50,000 kwa mwezi.
Ikumbukwe, umeme wa 10,000 unapata units 28.
MAPATO:
(Ukiwa huna mahindi)
Umeme wa 10,0000 = units 28= 28*1,000 = 28,000/=
(Faida 28,000-10,000=18,000)
Umeme wa 100,000, faida 180,000
etc etc.
Kwa kipindi cha miezi 15 niliyofanya kazi, nimetumia units 12,500 sawa na mapato ya sh 12,500,000/=
Hizi ni bei halisi na nimehusika fully mwenyewe kila hatua ya mradi huu mpaka sasa.
USHAURI:
Ukitaka kufungua mashine za kusaga na kukoboa, tafuta mtaji hata wa gunia 5 za kuanzia, maana wateja huenda mashine yenye mahindi, hivyo utauza MAHINDI, PUMBA na UNITS ZA UMEME kwa haraka.
Ikumbukwe, gunia 1 linatoa debe 3 za pumba, na kila debe ni 4, 000 ( bei ya sasa 2022 November)
Sina mtaji wa mahindi. Mahindi naletewa na watu/wateja, mm kwangu faida ni units za umeme zinavyopukutika.
Biashara sijaisajili, sina leseni bado.
Naombeni wazo la namna ya kuweza kukopesheka.