Wataalamu wa kilimo cha vitunguu maji naomba uelewa juu ya kilimo hicho maana nimepitapita vijiji vya mkoani Tabora nikakutana na zao hili.
Naomba somo, soko na biashara yake ilivyo!
Iko hivi wadau. Katika kubadilishana mawazo na mdau mmoja, nikampa wazo kwamba baada ya kuvuna mahindi sasa tugeukie kilimo cha mali mbichi hususan Kitunguu maji. Malengo ni kwamba at least mwezi...
Nauza shamba langu lipo Mkoa wa Pwani, Wilaya ya Kisarawe, kata ya Kisanga, kijiji cha Kitunda.
Lina ukubwa wa Ekari 6. Udonga safi sana wenye rutuba. Lina maji ya kutosha lwa kilimo cha...
Kuna Afisa Kilimo Wilaya ya Magu, Kata ya Lubugu haturidhiki na utendaji wake, ashafungua duka la kilimo na mifugo muda mwingi anautumia kukaa dukan kwake. Bidhaa anazotuuzia mara nying zile za...
Wakuu habari za muda huu.Nilikuwa naomba kufahamu kuhusu upatkanaji wa maeneo kwa ajili ya kufugia mifugo kama mbuzi na ng'ombe.
Sehemu ninayohitaji iwe kama pori ambako nitaweza kuintaract na...
Sipingi kujengwa uwanja wa ndege wa Kimataifa Serengeti, ila kwa hali mbaya ya miundo mbinu ya barabara iliyopo nchini si muda muafaka wala kipaumbele kwa sasa kujenga huo uwanja. Watalii hawaji...
Wadau,
Nilipata kusikia kua kuna vijiji unaweza kuomba uanachama wa kijiji ukawa na wewe ni mwanakijiji mwenzao kisha ukiomba mashamba wanakupa (yoteyote).
Hii nimeisikia kua kuna taratibu za...
Habarini wakuu
Nina uhitaji wa kuku wa mayai wenye umri wa miezi 4. Kwa anayeyejua mahali wanapouzwa naomba anisaidie pia kujua bei ikoje.
Ninatanguliza shukrani za dhati
Asanteni
Leo nimepita maeneo flani hapa dar nikaona kuku ambao sijawaelewa.
Paja lake tuu wanauza 15,000
Hilo paja ni nene sana Lina nyama nyingi uzito ni zaidi ya kg1
Shingo yake ni ndefu sana halafu...
Nimevutiwa sana na kilimo cha alizeti hasa ukizingatia mafuta yake ni miongoni mwa mafuta yanayopendwa na watumiaji wengi japokuwa yanauzwa bei ghali
Kwa msimu huu nimefanya majaribio ya kilimo...
Vyama vya USHIRIKA vinavyonunua mazao Mkoa wa Lindi hasa Wilaya ya Kilwa wafanyakazi wake wanatabia ya kuzungusha malipo ya wakulima kwa faida zao binafsi kwa vigezo vya kuwadanganya Wakulima kuwa...
Je! Unahitaji nguruwe wa nyama ??
Je! Unahitaji watoto wa nguruwe wa chin ya miez 3 ??
Kalibu LUNO Pig Farm tupo nao kwa bei sawa na afya na uzito wa nguruwe .
Location ; MPUNGUZI,DODOMA
Follow...
Habari humu?
Nataka kujua kama kuna mdau ama wadau wanao lima Magimbi na viazi vitamu kibiashara, naposema kibiashara namanisha kulima mashamba makubwa na pia kulima muda wote wa mwaka mzima.Hapa...
Baada ya kukaa muda mrefu bila kujihusisha na ufugaji wa aina yoyote, kuacha mbwa mmoja ambae namfuga kwaajili ya ulinzi, mwaka jana, 2024 mwezi wa kumi mwanzoni, niliamua kuanza ufugaji wa...
Julai 2, 2026, Waziri Mkuu Mwigulu Lameck Nchemba, akizungumza na wananchi wa Shirati wilayani Rorya mkoani Mara, ametangaza kuwa serikali inaenda kufuta rasmi sheria ya kutaifisha mifugo katika...
LISTRAM GROUP OF COMPANIES, CASHEW NUT BOARD OF TANZANIA (CBT) NA AGRICULTURAL MARKETING COOPERATIVE SOCIETY (AMCOS) WALIPENI WAKULIMA PESA ZAO, ACHENI DANADANA.
Bado sintofahamu inaendelea...
Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima
Maharage ni zao jamii ya mikunde ambalo hulimwa kwa ajili ya kuliwa kama mboga au futari linaweza kama maharage mabichi au maharage makavu. Pia majani yake...
Ndugu zangu, mwaka jana July 2021 nilinunua mashine ya kusaga na kukoboa na kuifunga Tanga mwezi wa Septemba, 2021.
Mchanganuo wa Vifaa:-
1. Mashine ya Kusaga
Kinu size 75 - 1,200,000
Mortor...
Zao la nazi pia hujulikana kama mti wa uzima kutokana na kuishi kwa muda mrefu. Kilimo cha minazi ni uwekezaji mkubwa kwa sababu mkulima anaweza kurithisha hata kizazi chake.
Kwa bahati mbaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.