Ufugaji wa kuku ni moja ya biashara zinazokua kwa kasi zaidi nchini Tanzania. Mahitaji ya nyama ya kuku na mayai yanaongezeka kila siku kutokana na ongezeko la idadi ya watu, migahawa, hoteli, na...
Habari wadau usikeni na kichwa cha thread hapo juu , nahitaji shamba kwa ajili ya ufugaji na kilimo lenye chanzo cha maji cha uhakika mwaka mzima , lenye ukubwa wa heka 5 mpaka 40 , liwe mkoa...
Habarini wadau.
Nimepata kamtaji hapa ka 10m, Nina eneo la ekari mbili Mkuranga.
Enyi wajuvi.
Naombeni msaada kwenu.
Ufugaji upi unalipa kati ya samaki sato au kuku wa kisasa?
Naomba maoni yako hapa.
7
Ufugaji wa kuku ni moja ya biashara rahisi kuanza lakini yenye faida kubwa nchini Tanzania. Kozi hii ya ChuoSmart inalenga kukufundisha hatua kwa hatua jinsi ya kuanzisha, kusimamia na kukuza...
Chama Cha ushirika Tunduru TAMCU viongozi wanatumia vibaya madaraka, wanapeana posho mlima Kama juzi hapa chama kilifanya kikao na wajumbe wa TAMCU ukumbi wa Skyway uliopo Tunduru bageti...
Wafugaji wengi hununua nguruwe bila mpango, wakidhani wote ni sawa — matokeo yake hujikuta wakifanya kazi kubwa bila faida ya kutosha.
Kitaalamu, tofauti ya breed ndiyo huamua:
👉 kasi ya ukuaji
👉...
Pixie Orange ni high value oranges ambazo Bongo zipo zikiwa zinatokea South Afrixa na kuna wakati zinatoka Egypt nahisi kitu kama hicho.
Pixie Orange huwezi zilinganisha na zile chungwa zetu za...
WAFUGAJI WENZANGU, TUJIFUNZE PAMOJA
Moja ya sababu kubwa zinazofanya mayai yasitotolewe vizuri siyo mara zote sababu ni mayai mabovu, wakati mwingine
ni KUKOSA UDHIBITI SAHIHI WA JOTO NA UNYEVU...
Maparachichi ya kisasa kwa Sasa limekuwa zao kubwa sana la kibiashara wateja wanakufuata shambani
Maparachichi yanasafirishwa nje ya nchi mti wa parachichi unakaa miaka 60 yaani kama ilikuwa...
Wasalaam watu wa Mungu,
Pasi na kuchelea twende sanjali kwenye mada.
Uhaba wa mafuta ya kupikia kero ya miaka mtawalia. Ni fursa ya uwekezaji kwa biashara ya muda mrefu hata kwa mtaji mdogo au...
Afrika Kusini mzalishaji mkubwa wa mahindi Afrika inatarajia kuweka rekodi Mpya ykuzalisha Nafaka hiyo kufuatia uzalishaji wa Tani milioni 16 ikipita uzalishaji wa mwaka Jana tani mil.15.
Kwa...
Katika Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera, hususan katika kata zinazopakana na nchi jirani ya Uganda, yaani kata za Mrongo na Bugomora, wananchi ni wazalishaji wakubwa wa zao la kahawa aina ya Robusta...
Habari zenu,
Uchumi wa nchi yetu unategemea sana sekta ya kilimo na ufugaji hivyo nimeona sio vibaya kama tukisaidiana kuweka softcopy za vitabu mbalimbali vya kilimo na ufugaji ili kusaidia...
Ni mfano tu kwa maana sijawahi kuona hadi umri huu.
Chukulia mfano jogoo la kuku lipandane na kanga jike au either uchukue mbegu za jogoo la kuku kisha upandikize kwenye bata,Tausi au kanga jike...
Habari ya wakati huu wakuu. Naomba kuuliza utaratibu wa kuingiza viuatilifu yaani madawa ya kilimo kutoka nje ya nchi. Ninataka kujua mamlaka na vibali vinavyohitajika kabla ya kuleta bidhaa hizo
Katika dunia ya sasa ambapo miji inaongezeka kwa kasi na gharama za maisha zinapanda kila siku, watu wengi wameanza kugundua nguvu ya “Kilimo cha Mijini” kama njia ya kujitosheleza kwa chakula na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.