Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Ufugaji wa kuku ni moja ya biashara zinazokua kwa kasi zaidi nchini Tanzania. Mahitaji ya nyama ya kuku na mayai yanaongezeka kila siku kutokana na ongezeko la idadi ya watu, migahawa, hoteli, na...
0 Reactions
1 Replies
380 Views
Habari wadau usikeni na kichwa cha thread hapo juu , nahitaji shamba kwa ajili ya ufugaji na kilimo lenye chanzo cha maji cha uhakika mwaka mzima , lenye ukubwa wa heka 5 mpaka 40 , liwe mkoa...
9 Reactions
32 Replies
1K Views
Habarini wadau. Nimepata kamtaji hapa ka 10m, Nina eneo la ekari mbili Mkuranga. Enyi wajuvi. Naombeni msaada kwenu. Ufugaji upi unalipa kati ya samaki sato au kuku wa kisasa? Naomba maoni yako hapa.
4 Reactions
34 Replies
673 Views
Anonymous
Habari, tumepima korosho toka mwaka jana mwezi wa 11 ila hadi leo hii hatujalipwa, wahusika ni chama cha msingi Mkola (MKOLA AMCOS).
0 Reactions
8 Replies
271 Views
7 Ufugaji wa kuku ni moja ya biashara rahisi kuanza lakini yenye faida kubwa nchini Tanzania. Kozi hii ya ChuoSmart inalenga kukufundisha hatua kwa hatua jinsi ya kuanzisha, kusimamia na kukuza...
3 Reactions
0 Replies
255 Views
Chama Cha ushirika Tunduru TAMCU viongozi wanatumia vibaya madaraka, wanapeana posho mlima Kama juzi hapa chama kilifanya kikao na wajumbe wa TAMCU ukumbi wa Skyway uliopo Tunduru bageti...
0 Reactions
1 Replies
55 Views
Wafugaji wengi hununua nguruwe bila mpango, wakidhani wote ni sawa — matokeo yake hujikuta wakifanya kazi kubwa bila faida ya kutosha. Kitaalamu, tofauti ya breed ndiyo huamua: 👉 kasi ya ukuaji 👉...
1 Reactions
5 Replies
310 Views
Pixie Orange ni high value oranges ambazo Bongo zipo zikiwa zinatokea South Afrixa na kuna wakati zinatoka Egypt nahisi kitu kama hicho. Pixie Orange huwezi zilinganisha na zile chungwa zetu za...
12 Reactions
117 Replies
6K Views
Maeneo Gani morogoro naweza kupata mbuga Kwa ajili ya kilimo Cha mpunga na gharama yake please Naomba Kwa anayefahamu anisaidie
5 Reactions
35 Replies
3K Views
WAFUGAJI WENZANGU, TUJIFUNZE PAMOJA Moja ya sababu kubwa zinazofanya mayai yasitotolewe vizuri siyo mara zote sababu ni mayai mabovu, wakati mwingine ni KUKOSA UDHIBITI SAHIHI WA JOTO NA UNYEVU...
1 Reactions
5 Replies
348 Views
Maparachichi ya kisasa kwa Sasa limekuwa zao kubwa sana la kibiashara wateja wanakufuata shambani Maparachichi yanasafirishwa nje ya nchi mti wa parachichi unakaa miaka 60 yaani kama ilikuwa...
10 Reactions
22 Replies
543 Views
Wasalaam watu wa Mungu, Pasi na kuchelea twende sanjali kwenye mada. Uhaba wa mafuta ya kupikia kero ya miaka mtawalia. Ni fursa ya uwekezaji kwa biashara ya muda mrefu hata kwa mtaji mdogo au...
3 Reactions
2 Replies
256 Views
Habari wana JF. Naomba kujua kama kuna dawa ya kuozesha visiki vya miti baada ya kukata miti shambani. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
57 Replies
21K Views
Afrika Kusini mzalishaji mkubwa wa mahindi Afrika inatarajia kuweka rekodi Mpya ykuzalisha Nafaka hiyo kufuatia uzalishaji wa Tani milioni 16 ikipita uzalishaji wa mwaka Jana tani mil.15. Kwa...
8 Reactions
71 Replies
2K Views
Anonymous
Katika Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera, hususan katika kata zinazopakana na nchi jirani ya Uganda, yaani kata za Mrongo na Bugomora, wananchi ni wazalishaji wakubwa wa zao la kahawa aina ya Robusta...
1 Reactions
1 Replies
181 Views
Kwani Marekani kuna nini mbona watu wamekuwa wakali kuhusu VIZA Twendeni URUSI TU.
0 Reactions
0 Replies
106 Views
Habari zenu, Uchumi wa nchi yetu unategemea sana sekta ya kilimo na ufugaji hivyo nimeona sio vibaya kama tukisaidiana kuweka softcopy za vitabu mbalimbali vya kilimo na ufugaji ili kusaidia...
9 Reactions
42 Replies
4K Views
Ni mfano tu kwa maana sijawahi kuona hadi umri huu. Chukulia mfano jogoo la kuku lipandane na kanga jike au either uchukue mbegu za jogoo la kuku kisha upandikize kwenye bata,Tausi au kanga jike...
7 Reactions
52 Replies
937 Views
Habari ya wakati huu wakuu. Naomba kuuliza utaratibu wa kuingiza viuatilifu yaani madawa ya kilimo kutoka nje ya nchi. Ninataka kujua mamlaka na vibali vinavyohitajika kabla ya kuleta bidhaa hizo
1 Reactions
4 Replies
157 Views
Katika dunia ya sasa ambapo miji inaongezeka kwa kasi na gharama za maisha zinapanda kila siku, watu wengi wameanza kugundua nguvu ya “Kilimo cha Mijini” kama njia ya kujitosheleza kwa chakula na...
0 Reactions
0 Replies
137 Views
Back
Top Bottom