Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wakuu, Hembu wazoefu wa kilimo,nipeni ushauri huu. Kwanza angalizo la mwazo:- Miti hiyo ni kama decoration,badala ya kuwa na mauwa kwenye Nyumba,nimeamua iwe ni Royal Fruits House of my...
3 Reactions
54 Replies
30K Views
Cha kwanza ambacho nataka kujua ni kuhusu ujenzi wa banda. Nahitaji banda ambalo kukubwatajua wanaishi humo mchana na usiku, lenye usalama ambalo halitavunjwa kiurahisi na wanyama kama fisi au...
2 Reactions
16 Replies
433 Views
Habari wa ndugu, Napenda kupata maarifa zaidi kwenye ulimaji wa minazi, hasa kibiashara. 1. Wapi napata mbegu nzuri za kisasa 2. Utayarishaji shamba? 3. Muda gani wa kupanda, na namna gani nzuri...
2 Reactions
29 Replies
11K Views
Anonymous
Mkoani Geita, wakulima tunanyanyasika sana, katika suala la kuuza mazao (mahindi ), kwa sasa vipimo vinavyotumiwa na walanguzi ni gunia na ndoo ambazo hazina uhalisia ukizingatia ukubwa wa gunia...
1 Reactions
0 Replies
94 Views
Habari zenu wakuu Ninaomba msaada wenu. Ningependa kujua Bei ya sasa ya viazi mviringo Obama na Sangita shamba katika eneo la Njombe. Je, bei kwa mkulima shambani Bei kwa gunia (100kg) ni kiasi...
2 Reactions
5 Replies
396 Views
Anonymous
Halmashauri ya Kilosa kuchukua Sh 2,000 kwa kila gunia la mpunga kwa Wakulima wa mpunga katika Kata ya KIMAMBA A na KIMAMBA B Wilayani KILOSA mkoani MOROGORO, ni maumivu makali kwetu kwa kuwa ni...
1 Reactions
1 Replies
201 Views
FUNYUKI Ni ufupisho wa neno FUga NYUki KIbiashara, mradi huu unaotekelezwa na kampuni ya TANZANIA INTERNATIONAL BEE yenye makao yake Dar es salaam ni mradi mkubwa wenye subtitle ya "The beekeeping...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Habari ,natafuta kijana mwenye elimu na uzoefu wa kilimo na ufugaji anaeishi Mkoa wa Kilimanjaro,,Shamba lipo Makanya Wilaya ya Same ,Shamba tumechimba maji na kuna kilimo cha mkonge kinaendelea...
5 Reactions
19 Replies
628 Views
1.Kuku wa nyama (broilers) ni GMO🧬 au wamechomwa homoni!💉: Wengi wanadhani kuku wa nyama (Broiler) wametengenezwa maabara au wanachomwa hormone zinazowafanya waongezeke uzito ndani ya muda mfupi...
9 Reactions
80 Replies
6K Views
Anonymous (418a)
Wakulima waliouza mahindi Hifadhi ya Taifa ya Chakula kanda ya Songea hatujalipwa fedha zetu tangu September 2025 Hadi Sasa kimyaa. Wakulima wameshindwa kurudi shambani wengine mahindi...
2 Reactions
11 Replies
365 Views
Kwa miongo kadhaa, ndizi Bukoba zimekuwa zaidi ya chakula kwa wakazi wa Mkoa wa Kagera; zimekuwa msingi wa maisha, utamaduni na uchumi wa jamii nzima. Hata hivyo, nyuma ya taswira ya zao hili...
9 Reactions
4 Replies
469 Views
Nimehuzunika mno kuona watu wanafanya kilimo bila kuwa na mafanikio kwa mda mrefu. Japokuwa watu wamejikita sana kwenye kilimo kwa mda mrefu lakini wameambulia kuchoka haswaa. Lengo la uzi huu ni...
7 Reactions
39 Replies
1K Views
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi zinatekeleza mradi wa Uvuvi unaohusisha miradi miwili yenye thamani ya TZS 25.1Bln ikihusisha mikopo ya...
1 Reactions
1 Replies
473 Views
Kwa sasa mkoa wa Mwanza unakabiliwa na mlipuko mkubwa wa homa ya nguruwe. Ugonjwa huu umesababisha hasara kubwa kwa wafugaji wengi – mabanda mengi yamesafishwa na nguruwe kufa kwa wingi. Kutokana...
0 Reactions
1 Replies
253 Views
Habari Tanzania! Haya leo naongea na nyinyi Wataalamu wa Mifugo. Kwanini muweze kwenye Kuku na vipi kuhusu hivi vitoweo kama Ng'ombe, Mbuzi na Kondoo tukawafanyia miujiza kama hao Makuku bwege...
3 Reactions
21 Replies
743 Views
Nilienda kununua mbolea ya ruzuku nikakutana na hi mbolea ya fomi otesha.sikuwahi kutumia na taget yangu ilikuwa dap na nimeikosa,ikabidi nichukue fomi otesha. hi mbolea kwnye mfuko wake...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Ukilinganisha na wenzetu wa Kenya, watanzania wengi tuko bize na kilimo cha kawaida (traditional farming), tukidhani ukubwa wa eneo ndio ukubwa wa kipato. Ukiangalia mitandaoni kwenye suala la...
1 Reactions
3 Replies
518 Views
In this insightful article, we’ll find which countries waste the most food and the implications this practice brings along. If you want to skip our overview of the environmental and economic...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za Leo wafugaji nashukuru mungu kwa muda huu mzuri ambapo nitakwenda kutoa elimu juu ya ugonjwa wa ndorobo kwa ng'ombe; --- Ugonjwa wa (ndorobo) Trypanosomiasis kwa Ng'ombe --- Sababu...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Tunaomba mwaka huu uwe na changamoto chache, faida nyingi, na miradi inayokwenda kama ulivyopanga (au angalau karibu 😅). Tangu mwezi wa 6 mwaka jana, tumekuwa tukipokea swali hili mara kwa mara...
2 Reactions
2 Replies
188 Views
Back
Top Bottom