KWA kawaida jamii ya wamasai ni wafugaji. Kutokana na asili yao hiyo ya ufugaji, sehemu kubwa ya maisha yao imetawaliwa na tabia ya kuhamahama toka eneo moja kwenda jingine ili kutafuta malisho...
Habari zenu wandugu?
Jamani natafuta watu wanaodeal na mambo ya procurement. Some sort of consultants au kampuni. Kama kuna mtu yeyote huko, please private message me.
Natanguliza shukran zangu.
habari za kazi wanajamvi.
kuna mdau anatafuta mfadhili ili amuwezeshe kufanya record ya kipindi cha television kinachohusu masuala mbalimbali ya kijamii,mienendo yetu na namna...
Habari wadau,
Nimenunua heka 50 za pori la miti,nataka kuchoma mkaa,sasa wadau naomba kujua utararibu wa kufanya ili niweze kusafirisha mkaa kutoka morogoro kuja dar,kitu gani cha kufanya...
Wakuu
Ninayo security ya uhakika , property with tittle deed with a potential value from a valuation report (market value & forced sales value)
ninahitaji mkopo wa mtaji wa biashara, note ni...
Hellow wana jf,
Katika kupambana na Hali ya uchumi, ninajipanga kwenda kulima mpunga huko ifakara na Kwa utafiti kidogo nilioufanya nimeona naweza kutumia km sh 350,000/=, Kutoka kukodisha...
"Strategy is defined as deliberate configuration of physical, extended,and generic attributes of a product
to fit the needs,expected outcomes and purchasing habits and occasions of target market...
Duocore 1.6ghz
Memory 2GB DDR3
Hard-drive 250GB
Webcam,DVD RW
Window 7 HP
Price: 585,000/-
1 year Hardware Warranty
Available @ Crystal Computers
Uhuru and Msimbazi
Round About
Kariakoo
Mambo vipi wakuu. Ninaomba anayefahamu minada ya mbuzi katika mikoa ya jirani especially Tanga, Morogoro (?), na Dodoma hasa siku za Ijumaa, Jumamosi, na Jumapili anifahamishe please. Kama una...
We're giving our freedoms away. The American experiment was about freedom. Freedom to be stupid, freedom to fail, freedom to succeed.
Glenn Beck - Freedom - America - Stupid - Fail - Success...
Naomba Lawyer /mwanasheria wa kujitegemea au aliyeajiriwa ajitokeze atakayenisaidia kuandika mikataba ya wapangaji wangu jumla wako 8 kwenye biashara yangu ya kupangisha.
Naomba awe na bei nafuu...
Hi wana jf.
Ofisi inafanya kazi,uwezo wa kuingiza pesa inao,inatakiwa kuhamishwa na kufanyiwa marekebisho zaidi.
Timu ni ndogo (watu 2 tu) kulinganisha na uwezo wa ofisi.
Tunahitaji mtu mmoja...
Wakuu heshima mbele,
Nauliza hivi kiwandani wazo cement, wanauzaji kwa tani 1, yaani 20 bags, nina kisehemu nauza cement, nadhani nikiwa nanunua direct kiwandan walau ka profit katapanda panda...
Kwanza napenda kuwapa pole watz wenzangu kwa majukumu ya kulijenga taifa letu. Mimi ni kijana ambaye nimeajiriwa na kampuni moja hapa Arusha lakini napenda sana niweze kujiajiri na kusaidia...
WHAT IS A CONTINUOUS INK SUPPLY SYSTEM?.
A continuous ink system (CIS), also known as a continuous ink supply system (CISS), a continuous flow system (CFS), an automatic ink refill system (AIRS)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.