Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,784
- 5,283
Habari wadau,
Nimenunua heka 50 za pori la miti,nataka kuchoma mkaa,sasa wadau naomba kujua utararibu wa kufanya ili niweze kusafirisha mkaa kutoka morogoro kuja dar,kitu gani cha kufanya nisisumbuliwe njiani,
kwa maoni unaweza ukanitumia:
Email: estatetz@diplomats.com
web: REAL ESTATE AGENCY
Nimenunua heka 50 za pori la miti,nataka kuchoma mkaa,sasa wadau naomba kujua utararibu wa kufanya ili niweze kusafirisha mkaa kutoka morogoro kuja dar,kitu gani cha kufanya nisisumbuliwe njiani,
kwa maoni unaweza ukanitumia:
Email: estatetz@diplomats.com
web: REAL ESTATE AGENCY