Naomba Lawyer /mwanasheria wa kujitegemea au aliyeajiriwa ajitokeze atakayenisaidia kuandika mikataba ya wapangaji wangu jumla wako 8 kwenye biashara yangu ya kupangisha.
Naomba awe na bei nafuu maana sina hela sana jamani.
Majibu yafanyike kwa kunitumia "private message" jamiiforums, au awasiliane nami kwa email: ak_abduel@yahoo.com.
NInaamini nimeeleweka
:A S 465:
Naomba awe na bei nafuu maana sina hela sana jamani.
Majibu yafanyike kwa kunitumia "private message" jamiiforums, au awasiliane nami kwa email: ak_abduel@yahoo.com.
NInaamini nimeeleweka
:A S 465: