Minada ya mbuzi

anonimuz

Senior Member
Nov 5, 2007
102
71
Mambo vipi wakuu. Ninaomba anayefahamu minada ya mbuzi katika mikoa ya jirani especially Tanga, Morogoro (?), na Dodoma hasa siku za Ijumaa, Jumamosi, na Jumapili anifahamishe please. Kama una information nyingine yeyote kuhusu hili ambayo unadhani inaweza kusaidia unaweza kuchangia. Suggested Format: Mkoa-> Kijiji-> Siku-> Extra info (e.g. range ya bei, quality ya mbuzi, gharama za kusafirisha etc). Asanteni sana.

*On a second thought, nimeona kwamba watu wengine wanaweza kuwa interested na minada hiyo katika mikoa mingine na siku zingine. So, feel free to share the info regardless of the day and the region.
 
anonimuz hii mada ungeiunganisha na https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/249889-fuga-madume-ya-ng`ombe.html palipo na mnada wa mbuzi patakuwa na kondoo na ng'ombe. Maeneo mengi hakuna siku maalumu ya mnada c'se huwa kuna kitu inaitwa mzunguko i mean utakuta j'si hii mnada upo kijiji A, J'si inayofuata upo kiji B etc. pia kuna minada mingi ya misimu mf kipindi cha masika, mavuno etc... bei maalumu hakuna.. angalia reply yangu kwa malila kwenye hiyo link uone jinsi bei zinavyokwenda
 
Last edited by a moderator:
anonimuz hii mada ungeiunganisha na https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/249889-fuga-madume-ya-ng`ombe.html palipo na mnada wa mbuzi patakuwa na kondoo na ng'ombe. Maeneo mengi hakuna siku maalumu ya mnada c'se huwa kuna kitu inaitwa mzunguko i mean utakuta j'si hii mnada upo kijiji A, J'si inayofuata upo kiji B etc. pia kuna minada mingi ya misimu mf kipindi cha masika, mavuno etc... bei maalumu hakuna.. angalia reply yangu kwa malila kwenye hiyo link uone jinsi bei zinavyokwenda

Asante Narubongo for the added insight. Nitai-introduce hii issue huko. Nimekuelewa kuhusu bei, inaelekea nitashangazwa now that watu wanakaribia mavuno.
 
Kwa ARusha kuna soko maarufu la mnada wa mbuzi na kondoo eneo la Mbauda na FFU Kwa Mrombo, linakuwa kila jumatatu na IJumaa. BEi za mbuzi ni kati ya 100K na 150K. QUality ni ya ukweli, especially kwa sasa ambapo kuna malisho ya uhakika.
 
Kwa ARusha kuna soko maarufu la mnada wa mbuzi na kondoo eneo la Mbauda na FFU Kwa Mrombo, linakuwa kila jumatatu na IJumaa. BEi za mbuzi ni kati ya 100K na 150K. QUality ni ya ukweli, especially kwa sasa ambapo kuna malisho ya uhakika.

Asante sana PJ
 
Kwa ARusha kuna soko maarufu la mnada wa mbuzi na kondoo eneo la Mbauda na FFU Kwa Mrombo, linakuwa kila jumatatu na IJumaa. BEi za mbuzi ni kati ya 100K na 150K. QUality ni ya ukweli, especially kwa sasa ambapo kuna malisho ya uhakika.

Asante sana PJ. Bei imenishtua kidogo though.
 
Back
Top Bottom