popo1986
JF-Expert Member
- Jul 30, 2014
- 1,120
- 373
Wanabody nimekuja kutoa rai yangu wale wenzangu waliojitokeza kulima matikiti mwaka huu.
Hali ilivyo mpaka sasa si shwari kwa kuwa soko linatatiza sana kwa maana watu walioingia kwenye kilimo hiki ni wengi sana na matokeo yake kupelekea matikiti kuwa mengi sana sokoni na mitaani na mazao mengine kuadimika.
Hii inaleta kilio hapo badae kwani kwa sasa hata madalali ndio wameongeza ukali wa manunuzi.
Wananunua tikiti kubwa kwa 1500, au 1000.
Naomba nitoe rai ya kuwa makini na watu wengine ambao bado hawajalima wajaribu kufanya simple research kwenye kilimo kwamba ni nini kinahitajika.
Hali ilivyo mpaka sasa si shwari kwa kuwa soko linatatiza sana kwa maana watu walioingia kwenye kilimo hiki ni wengi sana na matokeo yake kupelekea matikiti kuwa mengi sana sokoni na mitaani na mazao mengine kuadimika.
Hii inaleta kilio hapo badae kwani kwa sasa hata madalali ndio wameongeza ukali wa manunuzi.
Wananunua tikiti kubwa kwa 1500, au 1000.
Naomba nitoe rai ya kuwa makini na watu wengine ambao bado hawajalima wajaribu kufanya simple research kwenye kilimo kwamba ni nini kinahitajika.