nanya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 672
- 523
Habari,
nafahamu uwepo wa manguli wa kilimo humu JF, itakua faraja kama nitapata msaada wenu. nimenunua shamba la heka mbili miezi sita iliyopita, nataka kujua utaratibu wa shamba boy kulipwa mshahara, mazao gani yanalipa, na mbegu bora nitapata wapi.
Msaada tafadhali.
nafahamu uwepo wa manguli wa kilimo humu JF, itakua faraja kama nitapata msaada wenu. nimenunua shamba la heka mbili miezi sita iliyopita, nataka kujua utaratibu wa shamba boy kulipwa mshahara, mazao gani yanalipa, na mbegu bora nitapata wapi.
Msaada tafadhali.