Fedha za chapa za ng'ombe zimetumikaje MVOMERO

kaburi jeusi

JF-Expert Member
Jan 27, 2017
258
145
Awali ya yote kabla ya serikali kusitsha upigaji chapa kwa Mifugo Halmshauri ya mvomero ilishafanya zoezi hilo kwa asilimia fulani na walikusanya fedha za kutosha na walidai ni gharama za uendeshaji Wa mpango huo lakini sisi kama wafugaji hatujui nini zimefanyiwa na kazi hiyo tumeifanya wenyewe namashaka na hilo wana MVOMERO mmelala tu ebu changieni hili.
 
Kumbe zoezi lilisitishwa baada ya kuanzishwa?? Basi zililipia kipande kilichokuwa kinafanyiwa zoezi. Usijali mkuu, hukutozwa fedha ya ziada bali ni baada ya mchanganuo kuwa mnyama 1 atagharim kiasi gani kumpiga chapa ili asije rudiwa au changanywa na wasio na chapa.
 
Back
Top Bottom