Msaada:Eneo la kulima mahindi kwa Mkoa wa Arusha.

Msaada:Eneo la kulima mahindi kwa Mkoa wa Arusha.

Malingumu

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
616
Reaction score
433
Natumai mu wazima.

Naulizia kwa mkoa wa Arusha ni maeneo gani naweza pata shamba la kuanzia ekari 30 kwa ajili ya kulima mahindi.
Hata kama kuna anayejua na mkoa wa Manyara pia naomba anijuze.

NB: Nataraji kulima msimu ujao wa mvua.

Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makuyuni mkuu nashamba kubwa Sana'a hata ukitaka hekari mia lipo kilometa Kama kumi na tano tokea makuyuni mjini
 
Makuyuni mkuu nashamba kubwa Sana'a hata ukitaka hekari mia lipo kilometa Kama kumi na tano tokea makuyuni mjini
Makuyuni hii ipo Arusha sehemu gani mkuu? Na wanakodisha bei gani per acre?
 
Back
Top Bottom