Siyo ubahiri. Lazima kusaka mawazo pote, dakitari yuko mbali natafuta first aid wakati namsubiri daktariAcha ubahiri mkuu ita afisa mifugo wa karib na eneo lako akuattend
ExactlyAcha ubahiri mkuu ita afisa mifugo wa karib na eneo lako akuattend
Amezaa hivi karibuni?? Haitakiwi ku advise nini kifanyike kama hujapata detailed history ya mnyama otherwise mtu atatoa wrong solution...ndio maana nakusihi umuite mtaalam aliejiran yakoSiyo ubahiri. Lazima kusaka mawazo pote, dakitari yuko mbali natafuta first aid.
Hapo haitakiwi first aid tena maana umeshaitoa, mtafute huyo wa mbali aje akutibie! Otherwise jiandae kumpoteza huyo mnyama wakoSiyo ubahiri. Lazima kusaka mawazo pote, dakitari yuko mbali natafuta first aid.
kama unaushauri nambie at least first aid wakati dakitari anakujaUko wapi? unaongea kama vile wote tunakufahamu.
Yes amezaa sasa mwezi wa pili. Mtaalamu anakuja na amekuwa kimtibu.Amezaa hivi karibuni?? Haitakiwi ku advise nini kifanyike kama hujapata detailed history ya mnyama otherwise mtu atatoa wrong solution...ndio maana nakusihi umuite mtaalam aliejiran yako
Yes amezaa sasa mwezi wa pili. Mtaalamu anakuja na amekuwa kimtibu.Amezaa hivi karibuni?? Haitakiwi ku advise nini kifanyike kama hujapata detailed history ya mnyama otherwise mtu atatoa wrong solution...ndio maana nakusihi umuite mtaalam aliejiran yako
Inawezekana upo Kigoma na mimi nipo Kitetokama unaushauri nambie at least first aid wakati dakitari anakuja
nimekusikia, ni maoni vile vile