PACHOTO
JF-Expert Member
- Dec 30, 2011
- 1,321
- 970
Habari wakuu!
Kama ilivyo kwa zao la CHOROKO, zao la MBAAZI nalo limeleta kilio kwa wakulima wa mkoa wa Mtwara kwani hadi leo hii linanunuliwa Tsh 300/= kwa kilo moja ukizingatia gharama ya uzalishaji ni kubwa sana ukilinganisha na bei ya kuuzia. kilio hiki kilianza kwenye choroko, kimefuata cha mbaazi sijui kwenye korosho itakuwaje, ki ukweli inakatisha tamaa sana!
Kama ilivyo kwa zao la CHOROKO, zao la MBAAZI nalo limeleta kilio kwa wakulima wa mkoa wa Mtwara kwani hadi leo hii linanunuliwa Tsh 300/= kwa kilo moja ukizingatia gharama ya uzalishaji ni kubwa sana ukilinganisha na bei ya kuuzia. kilio hiki kilianza kwenye choroko, kimefuata cha mbaazi sijui kwenye korosho itakuwaje, ki ukweli inakatisha tamaa sana!