Mpeni sifa Yesu
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 646
- 129
WAJAMENI, KWA ANAYEJUA, nimekuwa nikitaka kujua namna ya kupata namba special za kuuza na kununulia vitu online kutoka kwa vodacome na tigopesa, ambapo watu wanaweza kununua vitu kwangu na mimi naweza kuwauzia vitu vyangu online na vodacome kupata commission yao....naomba kwa anayejua anielekeze how does it work, how to get the number pale kwenye kampuni, kama wanatoa namba hizo kwa individual persons au hadi iwe kampuni etc. NATANGULIZA SHUKRANI.