Buntungwa
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 549
- 310
Twamshukuru mungu tumeanza mwezi mtukufu kwa amani,mie ni mfanya biasha wa nguo za watoto na wakubwa naomba mtu anae weza nikopesha pesa bila riba,nashida ya milioni moja nitarudisha baada ya miezi 2 utaniuliza kwa nini sijaenda benk?benk wanatoza riba mie sitaki pesa ya riba nisaidieni ndugu zangu"swaum njema